Usithubutu kumuamini yule mwamba..Hii mechi itafatiliwa na watu bilioni moja kama ule msiba wetu....
Yes, haya ndo mambo sasa... Ilikuwa kumnyonga mtuhumiwa kwenye giza ni kinyume kabisa na utaratibu wa CAF.Tunataka kushuhudia Uto wakipigwa
Mtuhumiwa alishapata sababu,imebuma.Yes, haya ndo mambo sasa... Ilikuwa kumnyonga mtuhumiwa kwenye giza ni kinyume kabisa na utaratibu wa CAF.
Ni kweli mkuuUnaweza nisaidia link au source iliyo confirm hii taarifa. Nisije bisha kijiweni nikaonekana hovyo
eti ule msiba wetuHii mechi itafatiliwa na watu bilioni moja kama ule msiba wetu....
eti ule msiba wetuHii mechi itafatiliwa na watu bilioni moja kama ule msiba wetu....
it is what it isTanzanian 'youth'
Ghazwat dah mfungwa anyongwe adharani na watu waone live jinsi anabaraguza miguu kwenye kisturi[/QUOTE]Mkuu unasharau na kejeli sana aisee...na. maneno yako yanaumiza sanaGhazwat post: 43995382, member: 329420"]Yes, haya ndo mambo sasa... Ilikuwa kumnyonga mtuhumiwa kwenye giza ni kinyume kabisa na utaratibu wa CAF.
al hilal wajanja sana. wanajua demand ya hii mechi kuonekana kwa watz ni kubwa, wakatengeza tension kwa makusudi ili kuiongezea value. bila shaka azamtv watakuwa wamelipa pesa nyingi sana ili wauzie broadcast right.Hii mechi itafatiliwa na watu bilioni moja kama ule msiba wetu....
KwaMba hujui wanaitwa young?? Sii Hyo hiy youth..Tanzanian 'youth'
😂😂😂