ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 417
- 1,487
Kuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa