Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
hawa akina Zitto ndio aina ya viongozi tulionao leo. wanapenda kuusimulia na kuuelezea uzalendo lakini hawawezi kuutekeleza kwa vitendo. wanatufundisha waliyofanya akina Mbita, ila wao wako bize na ACT wakipambana na wapinzani wenzao. eti wanajiita wazalendo! watamfikiwa Mbita hata kwa robo tu ya uzalendo wake?