MEGATRONE
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 968
- 1,814
Habari wakuu!
Ukiona fursa ni vyema kushare na wenzako. Kuna kijiji nipo katika wilaya ya Handeni kuna fursa kibao sana! Moja wapo ya biashara ya grocery. Kama una mtaji wa kufungua grocery tuwasiliane kuna hela yako nyingi sana katika hicho kijiji. Waliopo huku wengi ni wazawa hivyo biashara kwao ni changamoto sana wanaanzisha wanaacha.
Kama itakufaa nyoo upige hela yako. Najua kuna watu watauliza kwanini mimi sifanyi nataka wengine wafanye! Jibu ni simple nafanya biashara ingine katika hichi hichi kijiji!
Ukiona fursa ni vyema kushare na wenzako. Kuna kijiji nipo katika wilaya ya Handeni kuna fursa kibao sana! Moja wapo ya biashara ya grocery. Kama una mtaji wa kufungua grocery tuwasiliane kuna hela yako nyingi sana katika hicho kijiji. Waliopo huku wengi ni wazawa hivyo biashara kwao ni changamoto sana wanaanzisha wanaacha.
Kama itakufaa nyoo upige hela yako. Najua kuna watu watauliza kwanini mimi sifanyi nataka wengine wafanye! Jibu ni simple nafanya biashara ingine katika hichi hichi kijiji!