Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,839
- 23,274
Gaza kumekucha huko wananchi wanazurura mitaani wakiimba na kumshukuru Mungu baada ya Hamas kukubali masharti ya Israel muda huu.
Kwakweli Mungu ni mwema anajibu wamekufa wengi sana na sasa tuseme imetosha waliobakia waendelee na maisha ila adabu wamekipata walichokitafuta.
======
Kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ametuma neno la kundi hilo kukubali pendekezo la wapatanishi, Qatar na Misri kusitisha mapigano.
Kwakweli Mungu ni mwema anajibu wamekufa wengi sana na sasa tuseme imetosha waliobakia waendelee na maisha ila adabu wamekipata walichokitafuta.
======
Kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh ametuma neno la kundi hilo kukubali pendekezo la wapatanishi, Qatar na Misri kusitisha mapigano.
- Maelfu ya watu wamekimbia mashariki mwa Rafah baada ya Israel kuwataka kuondoka ikijiandaa na mpango wa mashambulizi kwenye mji huo
- Hamas imesema mashambulizi ya Majeshi ya Israel haitakuwa 'Picnic' na imejiandaa kuwalinda raia wa Palestina.