Hamas: Tunawashikilia maafisa 30 wa Israeli "Mahali salama

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
47,394
33,041
Wanakumbi.

🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS: TUNAWASHIKILIA MAAFISA 30 WA ISRAELI "MAHALI SALAMA"

Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah.

Hamas pia walisema hawana uhakika ni mateka wangapi waliosalia hai lakini walidai kuwa ni zaidi ya vile maafisa wa Israel walivyofikiria.

IDF wameshindwa kupigana na Hamas wamebakia kuwashambulia raia na kuuwa watoto na wanawake, kila wakijaribu kuingia uwanja wa vita kupambana na Hamas wanauliwa na kukamatwa, Netanyahu kili siku anasema wameimaliza Hamas hafahamu hata maafisa wake wamekamatwa na Hamas.

Chanzo: Israel Today


View: https://x.com/marionawfal/status/1783063464048513251?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
UP DATE


View: https://x.com/qudsnen/status/1783138449584783633?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah.
Watawashikilia wapi wakati hawana tena mahali pa kukaa? Huko Misri hawataki kuona mpalestina yeyote anaingia, achilia mbali Hamas, maana wanawajua watawaletea machafuko
 
Waambie ndugu zako wa Hamas waache kujificha mahospitalini na sehemu nyingine zenye mikusanyiko ya raia wasio na hatia, ndio uje hapa useme IDF wameshindwa kupigana na Hamas.

Hamas wanakimbia kimbia kama wakimbizi, waambie watulie sehemu moja kama kweli wana jeshi wapigane na IDF ndio uje hapa uimbe hizo taarabu zako za IDF wameshindwa kuwapiga Hamas.
 
Military objectives zimefikiwa??...wanahangaika na wanamgambo mwezi wa Saba huu...wao kama Wana jeshi na Intelligence iliyo Bora by now walitakiwa wawe wameshakamilisha kazi...rescue the hostages and finish Hamas....ila mpk Sasa Kiko wapi....Hawa wamewashindwa mwsho wa siku wakaenda kugusa wanaume wenye jeshi walichofanywa wakaishia kurusha drones za harusi....Hawa wayahudi wa mchongo project Yao hapo Middle east imeshafeli...wawaachie nchi wayahudi halisi waishi kwa amani na wapalestina ila hyo idea Yao ya Zionism haitakaa itoboe...itajifia Kifo cha mende
Waambie ndugu zako wa Hamas waache kujificha mahospitalini na sehemu nyingine zenye mikusanyiko ya raia wasio na hatia, ndio uje hapa useme IDF wameshindwa kupigana na Hamas.

Hamas wanakimbia kimbia kama wakimbizi, waambie watulie sehemu moja kama kweli wana jeshi wapigane na IDF ndio uje hapa uimbe hizo taarabu zako za IDF wameshindwa kuwapiga Hamas.
 
Hawajali wapalestina wenzao wasiokuwa na hatia zaidi ya 34k waliopoteza maisha, wao wanaona fahari kuwaweka salama Waisrael 30!?

Hii na zaidi mtindio wa ubongo.
Ndio ujiulize sasa kama wanaweza kupambana na watu wa aina hii. Jana siku 200 zimeisha hakuna cha mateka wala nini na mapigano yanaendelea.
 
Ni ujinga mtu kuendelea kushabikia magaidi wa hamasi ukajisahaulisha kuhusu maisha ya maelfu kwa maelfu wa raia wa Parestine wanaouwawa na majeshi ya Kiyahudi
 
Kiukweli Israeli imeshidwa vibaya na Hama's , hawa jamaa wana mtandao wa mahandaki wenye urefu usiopungua km 500, utawapata wapi! Wanajeshi wa Israeli wamebaki wanazurura mtaani tu mchana usiku wanashambuliwa na kutekwa
 
Watawashikilia wapi wakati hawana tena mahali pa kukaa? Huko Misri hawataki kuona mpalestina yeyote anaingia, achilia mbali Hamas, maana wanawajua watawaletea machafuko
Wewe mloloke Muisrael mweusi hufahamu chochote unauliza wanashikiliwa wapi? Wale mateka unajua walipo?
 
Ni ujinga mtu kuendelea kushabikia magaidi wa hamasi ukajisahaulisha kuhusu maisha ya maelfu kwa maelfu wa raia wa Parestine wanaouwawa na majeshi ya Kiyahudi
Punguani mwingine huyu hapa yaani watu wanaonewa kwenye ardhi yao wewe upo Tundulu unaumwa UTI sugu wazazi wako wanakunya kwenye mashimo unawaita Palestina magaidi, huko kwa mabwana zenu US vyuo vikuu vyote ninafanya maandamano wewe punguani unawaita wajinga daaah Tanzania mapunguani hawawezi kuisha.
 
Back
Top Bottom