Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,470
- 106,247
Magufuli kashasema hadharani kwamba anawadukua watu bila ridhaa zao...wasiwasi wangu ni kwamba vijana wanaweza kuamini kwamba KUDUKUA mawasiliano ya MPINZANI wako ni mbinu HALALI ya kisiasa.
..Kwa uelewa wangu kashfa ya Watergate iliyosababisha Raisi Richard Nixon auteme wadhifa wake ilihusu makosa ya udukuaji yaliyofanywa na timu yake ya kampeni.
..Sijui sheria zetu za udukuaji mawasiliano zinasemaje.
Cc Nyani Ngabu, Kiranga