Ukiangalia mitume wale 12,
Yesu hakuna aliyeoa ndio maana petro alimwambia Yesu wajenge vibanda ili waishi pale Mlimani Yesu alipogeuka sura.
Yesu mwenyewe hakuwa na mke japo wanamfanasha na mitume mingine kama Mohamad wakati wanajua hakuoa ila Mohamad alikuwa na wake.
Siku ndoa ni kikwazo kumuabudu mungu kila siku ni migogoro tu. Ndio maana Yesu akasema huwezi kuwatumikia mabwana wawili. Kanisa katoliki liliona mbali kutowaruhusu wawekwa wakfu kuoa kanisa lingekuwa na migogoro mingi kama ilivyo KKKT na Anglican
Yesu hakuna aliyeoa ndio maana petro alimwambia Yesu wajenge vibanda ili waishi pale Mlimani Yesu alipogeuka sura.
Yesu mwenyewe hakuwa na mke japo wanamfanasha na mitume mingine kama Mohamad wakati wanajua hakuoa ila Mohamad alikuwa na wake.
Siku ndoa ni kikwazo kumuabudu mungu kila siku ni migogoro tu. Ndio maana Yesu akasema huwezi kuwatumikia mabwana wawili. Kanisa katoliki liliona mbali kutowaruhusu wawekwa wakfu kuoa kanisa lingekuwa na migogoro mingi kama ilivyo KKKT na Anglican