Hai, Kilimanjaro: Mama na watoto wake walia kwa uchungu baada ya nyumba yake kubomolewa na serikali

Hakika Mungu wa jua, Mungu wa mvua na vyote amesikia na akapate kutenda yapasayo
 
Maza maza maza,,,, Taratibu, kisu kinakaribia kugonga mfupa patawaka, Watanganyika tumekukosea nini ? mbona hatusikii nyumba za wazanzibari wakilalamika kuharibiwa mali zao
 
Poleni sana.yote haya yamesababishwa na kutawaliwa na mgeni kutoka Nchi ya mbali ya Zanzibar Kuja kutawala Tanganyika.
 
Hawajaporwa ila wamevamia eneo la Serikali.

Wale wa Kimara walilia sio tuu Kwa Uchungu Bali walisaga meno ila bahati Yao Samia kawalipa kifuta machozi.
Kimara ipi?
Umerogwa au umetumwa?
Usije ukafanya nikakutukana bure. Fanya Kama Kitila alivyoambiwa kule Zanzibar.
 
Halafu Kuna dumejike chawa mbwa mtoto si rizki anasema tulipewa kifuta machozi.
labda aliitwa chumbani akapewa, si kuna zisizo rasmi kuwa maza anawatembezea badala ya kutembezewa, labda yy alipewa baada ya kutembezewa.
 
Kimara ipi?
Umerogwa au umetumwa?
Usije ukafanya nikakutukana bure. Fanya Kama Kitila alivyoambiwa kule Zanzibar.
Punguani mkubwa , ujenzi wa njia 8 awamu ya Mwendazake nini kiliyokea happ.Kimara kwenye nyumba za watu?

Kwani ukitukana ndio utafuta huo ukweli? 😁😁😁
 
Punguani mkubwa , ujenzi wa njia 8 awamu ya Mwendazake nini kiliyokea happ.Kimara kwenye nyumba za watu?

Kwani ukitukana ndio utafuta huo ukweli? 😁😁😁
Mimi Ni mhanga actually mpaka Sasa waliovunjiwa wote bado tunafanya vikao pale forest kwa msuguri, wewe unahudhuria? Jamani uchawa nao uwe na mipaka na akili kidogo itumike, sio kupaza sauti tu.
 
Back
Top Bottom