Rolla Patrick
Member
- Aug 24, 2021
- 31
- 110
Dah sijui tunaelekea wapi, hizi huduma zilipaswa kutupa unafuu wananchi kufanya miamala bila usumbufu lakini imekua ujambazi hasa hasa.
Niliwahi kuhamisha laki mbili kutoka Benki kwenda mpesa nikakatwa 11,000/= hapo bado sijakutana na Makato ya mpesa, nikajikuta nakatwa karibu 16000/= kupata 194,000 sijui, nikabaki nimeduwa.
Ukitoa hata 40000 wanakata 6000/= Makato ya mpesa/tgopesa/Airtel money utakutana nayo juu kwa juu.
Jana nimenunua vocha ya 2000 kutoka mobile banking naangalia statement wamekataa 700/= anyway sawa tu IPO siku kitaeleweka tu maana washatuona misukule.
Nimefuta app zao zote ila najua hata kwenye atm ni yaleyale.
Niliwahi kuhamisha laki mbili kutoka Benki kwenda mpesa nikakatwa 11,000/= hapo bado sijakutana na Makato ya mpesa, nikajikuta nakatwa karibu 16000/= kupata 194,000 sijui, nikabaki nimeduwa.
Ukitoa hata 40000 wanakata 6000/= Makato ya mpesa/tgopesa/Airtel money utakutana nayo juu kwa juu.
Jana nimenunua vocha ya 2000 kutoka mobile banking naangalia statement wamekataa 700/= anyway sawa tu IPO siku kitaeleweka tu maana washatuona misukule.
Nimefuta app zao zote ila najua hata kwenye atm ni yaleyale.