Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Naangalia hii gemu ya England na Kazakhstan.
Ni clear kwamba Gerrard na Lampard hawawezi kucheza pamoja. Yaani kama kila mmoja wao anamtegea mwenzake au ana seize kuexist. Mpaka imebidi wamtoe Barry, halafu wampeleke Gerrard kwenye defensive midfielder.
Nafikiri England hawana choice but kumchezesha mmoja wao at a time...
Tatizo nani aanze, nani asugue benchi?
Ni clear kwamba Gerrard na Lampard hawawezi kucheza pamoja. Yaani kama kila mmoja wao anamtegea mwenzake au ana seize kuexist. Mpaka imebidi wamtoe Barry, halafu wampeleke Gerrard kwenye defensive midfielder.
Nafikiri England hawana choice but kumchezesha mmoja wao at a time...
Tatizo nani aanze, nani asugue benchi?