General Muhoozi, mtoto wa Rais Museveni anawaunga mkono M23

Moronight walker

JF-Expert Member
Aug 3, 2021
3,105
4,641
Mtoto wa Museveni General Muhoozi simeone Twit yake leo akionyesha anaunga mkono m23 kwa kusema wanatafuta haki yao.

Screenshot_20221108-140236_Firefox.jpg


Watu wengi wameshambulia lakini kuna wengine wamemuunga mkono.
 
Hawa watu wanatuvurugia amani mazima makuu
, na mr slim mr paka mwanae amekuwa mwanajeshi
Screenshot_20221108-134828_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom