Miundo mbinu ipi ebu itajeGeita iko vizuri kuliko singida kwa mambo ya biashara ila kimaendelea ya miundo mbinu singida iko juu
Kwa ukuaji Geita inakua sana kuliko SingidaMiundo mbinu ipi ebu itaje
Kwa ukuaji Geita inakua sana kuliko Singida
Nimekaha singida nimeenda na mtaji mkubwa tu nikafilisika siku moja nitaketa kisa Cha kufilisika
Ungekaa usingefirisika...tatizo ulikahaNimekaha singida nimeenda na mtaji mkubwa tu nikafilisika siku moja nitaketa kisa Cha kufilisika
Yataje hayo maendeleo maana Singida ni Manspaa ya muda mrefu sana lakini ukilinganisha na ukuaji wa mji wa Geita Singida inasubiri sanaSingida ipo mbali sana kimaendeleo kuliko Geita!,makao makuu ni mara mia yangekuwa Singida kuliko Dodoma maana Dodoma ni jangwa lililochangamka!
wale watoto weupe ndio wamesababisha.Nimekaha singida nimeenda na mtaji mkubwa tu nikafilisika siku moja nitaketa kisa Cha kufilisika
View attachment 2396975
View attachment 2396976
View attachment 2396977
View attachment 2396978
View attachment 2396979
Singida ndio hiyo kwa wale walikuwa wanataka picha mji safi na salama