Nahisi ni fuel pump, pressure ya kupeleka fuel kwenye cylinders inakuwa ndogo sana na gari inajizima inapokwenda taratibu.
Izime hiyo gari kwa muda wa dakika 20 au 30 then washa kamcheki fundi akubadirishie pampuNaomba msaada
Gari yangu aina ya ist inazima nikiwa kwenye mwendo mdogo tatizo litakuwa nini wadau?
Nilitaka kukuambia rekebisha plugsWakuu naleta mrejesho apa kwa lile tatizo la kuzima kwa IST yangu ikiwa kwenye mwendo mdogo tatizo lilikuwa oil kushuka sana baada ya kufanya service kubadili oil ya injini na gia box na fundi kurekebisha plagi sasa chuma imetulia sana wakuu nawashukuru sana kwa mchango wenu wa mawazo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app