Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,418
atalipwa bei gani kwa huo ufunguzi? au bure?Katika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar
Hongera kwakeNilijua tu lazima fifa wangemuomba akahost maana ni bonge la mc😂😂😂😂😂
DSM imejengwa na wazaramo? Dunia ya sasa popote pale, unapoishi ukajenga na kuanzisha familia ndio nyumbani kwako! Mambo ya ukabila yamepitwa na wakati,bukoba sio ya wahaya ni ya watanzania sio lazima ijengwe na muhaya! Itajengwa hata na mmakuwa au mmatumbi akipapenda uko.wahaya wengi ni hovyo sana. Mnapenda sifa mpaka mnaboa japo hamjengi kwenu mmebaki na misifa tu
Bukoba gan hiyo ambayo haijajengwa huko vijijini ??wahaya wengi ni hovyo sana. Mnapenda sifa mpaka mnaboa japo hamjengi kwenu mmebaki na misifa tu
atakuwa amepga kitu ya makambako af mbich mbich badoMzee una hakika hii uliyovuta ndiyo ile alitumia Bob marley na kina 2pac?
Alikua na Ndoa ingne, yeye ali host send off.Harusi ya Nandi hakualikwa sembuse Kombe la dunia
Kongole! Hii ni komenti yenye akili zaidi tangu mimi kuijua JF. You are very intelligent bro! Wamatumbi ni watu gani/wa wapi?DSM imejengwa na wazaramo? Dunia ya sasa popote pale, unapoishi ukajenga na kuanzisha familia ndio nyumbani kwako! Mambo ya ukabila yamepitwa na wakati,bukoba sio ya wahaya ni ya watanzania sio lazima ijengwe na muhaya! Itajengwa hata na mmakuwa au mmatumbi akipapenda uko.
Ni kweli? Au unajilamaba tu hapaKatika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar
Alihost siku billnas ameenda kujitambulisha na kumvisha pete ya uchumba nandy na siku ya sendoff piaHarusi ya Nandi hakualikwa sembuse Kombe la dunia
Mambo ya makabila yamepitwa na wakati???DSM imejengwa na wazaramo? Dunia ya sasa popote pale, unapoishi ukajenga na kuanzisha familia ndio nyumbani kwako! Mambo ya ukabila yamepitwa na wakati,bukoba sio ya wahaya ni ya watanzania sio lazima ijengwe na muhaya! Itajengwa hata na mmakuwa au mmatumbi akipapenda uko.
Katika Muendelezo wa Mafanikio ya Mkoa wa Kagera mara baada ya shule za Kemebos kuwa wa kwanza kitaifa na kimataifa sasa ni zamu ya Mc wa Kimataifa Mc Gara B kung'aa kimataifa baada ya kupata tenda ya kuongoza ufunguzi wa World cup huko Doha, Qatar
wahaya wengi wamesoma na pesa wanayoMambo ya makabila yamepitwa na wakati???
Mleta uzi anasifia kitu gani kama sio Uhaya=ukabila?
Ungeanza kumpa taarifa hii kuwa aache ufaloer ukabila umepitwa na wakati.
Wahaya ni washsmba msiojijua...mnaendekeza ukabila, hamjivunii utsnzania bila ukabila