utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 540
- 1,383
Mabingwa wa nchi Young Africans leo wanashuka dimbani kumenyana na Tabora United katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CRDB Bank Federation cup.
Mchezo huu utapigwa katika dimba la chamazi majira ya saa 2:30 za usiku
00" Mpira umeanza........
01" Yanga wanapata kona dak ya kwanza ila haikuzaa matunda
02" Kona ya pili Wanapiga Yanga ila nayo inaokolewa...
Yanga wameanza kwa kasi mchezo huu
05" lango la Tabora United lipo kwenye misukosuko lakini wanakaa vizuri na kuondoa hatari zote
15" Yanga 0-0 Tabora United
25" Bado milango ni migumu kwa pande zote, Tabora United wamepaki basi
35" Gooooal..... Yanga wanapata goli la kwanza linalofungwa na Aziz Ki
45" Mpira ni mapumziko Yanga wanaenda wakiwa mbele kwa goli moja
46" kipindi cha pili kimeanza
66" Gooooal... Yanga wanapata goli la pili lililofungwa na Kennedy Musonda
82" Gooooal... Yanga wanapata goli la tatu mfungaji akiwa ni Joseph Guedee
Mchezo huu utapigwa katika dimba la chamazi majira ya saa 2:30 za usiku
00" Mpira umeanza........
01" Yanga wanapata kona dak ya kwanza ila haikuzaa matunda
02" Kona ya pili Wanapiga Yanga ila nayo inaokolewa...
Yanga wameanza kwa kasi mchezo huu
05" lango la Tabora United lipo kwenye misukosuko lakini wanakaa vizuri na kuondoa hatari zote
15" Yanga 0-0 Tabora United
25" Bado milango ni migumu kwa pande zote, Tabora United wamepaki basi
35" Gooooal..... Yanga wanapata goli la kwanza linalofungwa na Aziz Ki
45" Mpira ni mapumziko Yanga wanaenda wakiwa mbele kwa goli moja
46" kipindi cha pili kimeanza
66" Gooooal... Yanga wanapata goli la pili lililofungwa na Kennedy Musonda
82" Gooooal... Yanga wanapata goli la tatu mfungaji akiwa ni Joseph Guedee