Naiscreenshit hii replyMimi leo hata tukitolewa sina stelesi kabisaaa...dunia imeshaona Simba ni nani....na imethubutu...kutoka droo na hii alhyl ya moto yenye wachezaji wa moto wanalipwa mishahara ya moto si mchezo...
Viva Simbaa
Simba nguvu Moyaaaaa
hii ndio inaitwa awali ya yoteMimi leo hata tukitolewa sina stelesi kabisaaa...dunia imeshaona Simba ni nani....na imethubutu...kutoka droo na hii alhyl ya moto yenye wachezaji wa moto wanalipwa mishahara ya moto si mchezo...
Viva Simbaa
Simba nguvu Moyaaaaa
Naiscreenshot na hiiMechi hii ikiisha nguvu zangu nitaziweka siku ya mechi ya Vilaza FC na hawa miamba...yani nitacheeeka mnooo..maana hawana timu ya kumtoa huyu...
Kaa hapa unaenda wapi tulia dogoNaaga kidogo humu jamvini tukutane saa moja usiku....naahidi kurudi iwe tumefungwa au hatujafungwa.....
🐸 WatanunaSimbaaa Nguvu mouyaaaa!! in Infrantino voice
Penati tuko vizuri muulize DiarraHilo goli la ugenini ndio limewafanya sasa hivi mpo makundi CAF vinginevyo sasa hivi zingekua habari zingine
Ameku inspireAmekufanyaje huyo unae mtaja?
Ni Role model wako?Ameku inspire
Bila kuiongea Yanga maisha yanakua sana kwakoPenati tuko vizuri muulize Diarra
Leo unamkataa?Ni Role model wako?
Sasa kama haiongelewi na FIFA, wala viongozi wake kina Wenger na Infantino unafikiri wakuiongelea ni nani kama sio mimi na Mwakalebela?Bila kuiongea Yanga maisha yanakua sana kwako