Hivi ni huwa hata kuandika tu baadhi ya maneno mepesi imekuwa ngumu kiasi hicho..?Flem❌
Hivi ni huwa hata kuandika tu baadhi ya maneno mepesi imekuwa ngumu kiasi hicho..?
'forways'..?? 'kod lak'..?
Nchi hii inatatizo sana.
Mkuu four way iko na njia panda kwenda iringa na singida Kuna round about hapo kwa SAS ndio wanapaita machinga complezMhhh! Si mchezo. Kodi kaki 5, na unatakiwa kulipia miezi 10!!
By the way, hivi hilo eneo la Four Ways liko pande zipi hapo Dodoma?
Karibu snaa mkuu pande hzi bila shak upo tanga mjiniMhhh! Si mchezo. Kodi kaki 5, na unatakiwa kulipia miezi 10!!
By the way, hivi hilo eneo la Four Ways liko pande zipi hapo Dodoma?
Dah! Kama ni hivyo basi hiyo fremu inawahitaji wale wafanyabiashara wenye msuli. Maana hiyo kodi yake tu ya miezi 10, tayari ni mtaji tosha kabisa kwa sisi wadundulizaji wa chini.Mkuu four way iko na njia panda kwenda iringa na singida Kuna round about hapo kwa SAS ndio wanapaita machinga complez
Kwa hapo biashraa IPO Kama utaweka vufaa vya ujenzi na Vito vya dhamani utapiga pesa
Kwa SAS Niko ddm
Ilazo karibu na kisasa sheli
😃😃 Tanga mjini huwa naenda mara moja moja tu kuosha macho. Muda mwingi niko huku milimani Lushoto nalima ngogwe.Karibu snaa mkuu pande hzi bila shak upo tanga mjini