Freeman Mbowe awasili Mwanza tayari kuongoza kikao cha Baraza Kuu

Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe amewasili jijini Mwanza leo.


Tayari mitandao yote ya kijamii,radio,televisheni na vyombo mbalimbali hapa nchini habari kuu ni Katibu mkuu mpya wa Chadema anayetarajiwa kujulikana Jumamosi wiki hii.

Mnaposema mitandao yote na vyombo mbalimbali vya habari HABARI KUU ni katibu wa CHADEMA, mnamaanisha nini hasa? Magazeti YOTE leo hii hayakuipa uzito habari hii, halafu umaeneza uongo
 
Mnaposema mitandao yote na vyombo mbalimbali vya habari HABARI KUU ni katibu wa CHADEMA, mnamaanisha nini hasa? Magazeti YOTE leo hii hayakuipa uzito habari hii, halafu umaeneza uongo

Inakuuma eeeeeh? Poleeee yakhe
 
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe amewasili jijini Mwanza leo.

Kiongozi huyo mkuu wa upinzani nchini amewasili jijini Mwanza mchana huu akiwa na siri nzito moyoni kuhusu uteuzi wa nafasi ya Katibu mkuu wa chama hicho

Kiongozi huyo mara baada ya kuwasili alilakiwa na wajumbe wote wa Kamati Kuu wakiongozwa na Kaimu Katibu mkuu Salim Mwalim.

Mbowe aliwasalimia kwa furaha viongozi walioenda kumlaki huku akiwa na uso wa tabasamu muda wote.

Kuwasili kwa kiongozi huyo ni ishara mambo yamekamilika tayari kuongoza kikao cha Baraza kuu na Kamati Kuu.

Tayari mitandao yote ya kijamii,radio,televisheni na vyombo mbalimbali hapa nchini habari kuu ni Katibu mkuu mpya wa Chadema anayetarajiwa kujulikana Jumamosi wiki hii.
Karibu sana mheshimiwa kiboko ya ccm na mawakala wake, karibu mwanza tunakusubiri sana ili tumpate katibu mkuu na kuendeleza vita ya kuidelete ccm kwa 100%
 
Mnaposema mitandao yote na vyombo mbalimbali vya habari HABARI KUU ni katibu wa CHADEMA, mnamaanisha nini hasa? Magazeti YOTE leo hii hayakuipa uzito habari hii, halafu umaeneza uongo

Unajishtukia halafu unaaibika mwenyewe.Mimi ninayo hapa magazeti zaidi ya 7 ya leo na yote yameandika Habari hii.

Pia wewe uko hapa ukikodolea macho habari hii.

Sasa wataka nini tena?
 
CHADEMA hamtakuja kupata Katibu mkuu mithili ya Dr. Slaa.

Mnachofanya ni kufurahisha baraza tu. Hatutegemei jipya zaidi ya maigizo tu, hata Mbowe aliishasema "tukikosa kushinda uchaguzi wa mwaka 2015, itatuchukua miaka 20 kurudi ktk form ya awali".
Nchi tulichukua lakini tukaporwa, ulimwengu mzima unajua nchi alichukua Lowasa, Lubuva hakuwa na ubavu wa Jecha maana mziki wa chadema anaujua akaamua kubadili kura za Ukawa akawapa ccm, leo zanzibar ina waumbua.
 
Karibu sana mheshimiwa kiboko ya ccm na mawakala wake, karibu mwanza tunakusubiri sana ili tumpate katibu mkuu na kuendeleza vita ya kuidelete ccm kwa 100%
Anashukuru sana mkuu.Ashakaribia kajaa tele
 
Back
Top Bottom