Geuka tuone
Member
- Jun 19, 2023
- 27
- 91
- Thread starter
- #21
Haina tiba ila ina kinga...thats the whole point ya usalama wa barabarani.Ajali haina kinga.
Haina tiba ila ina kinga...thats the whole point ya usalama wa barabarani.Ajali haina kinga.
Ok, ahsante kwa somo.Haina tiba ila ina kinga...thats the whole point ya usalama wa barabarani.
Kivipi?Na ukifanya ivo na ajali ikaepukika na dereva ujue kamba zitakuhusu na hospitali utaenda
Ulikuwa umekaa siti gani?Siku moja natoka kasulu nimo ndani ya bus (casablanca), asubuhi asubuhi tu ile tunavuka daraja la maragarasi... Mimi nilistuka gari limeegemea vyuma vya daraja linataka kudumbukia mtoni!! hakuna alistuka kabla labda waliokuwa mbele waliona!
Ilikuwa mwaka 2019/2020
Hivi unaujua huo uvungu wa viti vya ma bus yetu ukubwa wake hadi uingize kichwa Cha Mtu mzima huko uvunguni!!??Mimi nilipona kwa mbinu hii,gari ilikuwa 90.
lbda ajali ikukute tu umesinzia au unachati....lakini mimi huwa na tabia mda wote macho yapo kodo kwa dereva na barabara na huwa nakaa siti za katikati ili nione vizuri
Dawa ni kuhimiza kufunga mkanda na kuwa na speed ambazo ni reasonableSio kweli, ajali nyingi abiria huwa wanaziona kabla hazijatokea....ndomaana majeruhi wakihojiwa huwa wanasimulia ilikuwaje, utaskia "Dereva wetu alikuwa....
Mabasi yanatofautiana...lakini kama uvungu hautoshi basi jikunje pale sehemu ya kuwekea miguuHivi unaujua huo uvungu wa viti vya ma bus yetu ukubwa wake hadi uingize kichwa Cha Mtu mzima huko uvunguni!!??
Uhovyo wake uko wapi?Ushauri wa hovyo sana huo.
Usalama wako ni kufunga mkanda tu
kati katiUlikuwa umekaa siti gani?
Hii kama ukiweza nayo nzuriDawa ni kupanda na element ya pikipiki tu!!
hahahahDawa ni kupanda na element ya pikipiki tu!!
Unavaa na yale makoti makubwa ya kuzuia mwili kuumia,...Hii kama ukiweza nayo nzuri
trific hawawezi kukuzingua kweli?!Unavaa na yale makoti makubwa ya kuzuia mwili kuumia,...
Watanizinguaje na huku ndo mawazi yangu niliyovaa? ....mbona kwenye meli Wana mavazi yao.??trific hawawezi kukuzingua kweli?!