Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,256
- 2,863
ndo wameshasamehewa sasa...kafungue kesi upya simpo tuPengine hujazaa na kama umezaa basi mwanao hajawahi kubakwa na mtu na baba yake.
ndo wameshasamehewa sasa...kafungue kesi upya simpo tuPengine hujazaa na kama umezaa basi mwanao hajawahi kubakwa na mtu na baba yake.
ndo wameshasamehewa sasa...kafungue kesi upya simpo tu
Lowasa alitumia huu mtaji 2015, au umesahau?Hawa wafungwa ni mtaji wa kampeni 2020
Wewe jamaa nakuelewa sana kama hautupigi fix sisi mbumbumbu wa sheria.Kuna tofauti ya kutenguliwa kisheria kupitia rufaa ama review . Hapa kwenye " PREROGATIVE OF MERCY " ni kitu tofauti kabasa. Ingelikuwa walikata rufaa na kufanikiwa na hukumu ya awali iliyowapa uraia wa maisha Tanzania ikatenguliwa ningekujibu sawa sawa na mawazo yako katika kuuliza swali hili lakini kwa masamaha waliopwa na highest authority katika nchi akiwa anatekeleza PREROGATIVE POWER zake bado hakibatilishi kilichopitishwa na mahakama kuhusu kuishi nchini maisha yao yote
Acha ujinga wewe huyu Nguza Viking yuko hapa nchini hata kabla baba yako hajazaliwa na kisheria huyu ni mkaazi halali bila shaka yoyote awe na passport ya Congo au wapi. Kwa muda tu aliokaa ni raia halali wa Tanzania. Acheni majungu na ushabiki wa kisiasa hapa. Period.Hoja yangu ipo hapa Mfungwa yeyote ambae sio raia wa Tanzania akitoka ama kuachiwa gerezani anakabidhiwa kwa Ubalozi wa nchi yake au anatakaiwa kuondoka nchini mwenyewe kama uwezo anao.
Kwa kina Babu Seya hili halikufanyika kwani wao ni Wacongoman sio watanzania na hakuna kumbukumbu za wao kupewa uraia. Bali waliachiwa kwa mbwembwe ili Mkulu avune sifa laini anazozipenda.
Sijui kama paspoti zao za Congo zipo hai hali inayojenga mazingira ya kuishi nchini kinyume na sharia.
Najua Mhe. DKT.Mwigulu yupo humu na ni mtu makini hebu atusaidie kwa nini sheria inavunjwa na wizara yake au ndio maagizo kutoka juu.
Tunaomba atusaidie sisi WAZALENDO wa nchi hii kujua Familia ya Babu Seya ina hadhi gani kiuhamiaji hadi sasa.
ANGALIZO: DRC ni mwanachama wa SADC nchi ambazo zimefutiana visa lakini hakuna hata nchi moja ya SADC waliokubali kuwafutia visa raia wa DRC unajua kwa nini?
wewe kichwa maji kweli inaonekana hata shule kama ulikwenda basi kusindikiza watu yaani uwe na paspoti ya drc afu uwe raia wa Tanzania kwa ajili tu amekuja muda mrefu.. Remmy Ongala aliiupata uraia wa Tanzania akiwa amebakiza miaka miwili ya kuishi.. Uraia unaombwa na ni mchakato. Tena ukome kuja na majibu yako ya vijiweni hapaAcha ujinga wewe huyu Nguza Viking yuko hapa nchini hata kabla baba yako hajazaliwa na kisheria huyu ni mkaazi halali bila shaka yoyote awe na passport ya Congo au wapi. Kwa muda tu aliokaa ni raia halali wa Tanzania. Acheni majungu na ushabiki wa kisiasa hapa. Period.
Wivu na chuki vinakusumbuaHoja yangu ipo hapa Mfungwa yeyote ambae sio raia wa Tanzania akitoka ama kuachiwa gerezani anakabidhiwa kwa Ubalozi wa nchi yake au anatakaiwa kuondoka nchini mwenyewe kama uwezo anao.
Kwa kina Babu Seya hili halikufanyika kwani wao ni Wacongoman sio watanzania na hakuna kumbukumbu za wao kupewa uraia. Bali waliachiwa kwa mbwembwe ili Mkulu avune sifa laini anazozipenda.
Sijui kama paspoti zao za Congo zipo hai hali inayojenga mazingira ya kuishi nchini kinyume na sharia.
Najua Mhe. DKT.Mwigulu yupo humu na ni mtu makini hebu atusaidie kwa nini sheria inavunjwa na wizara yake au ndio maagizo kutoka juu.
Tunaomba atusaidie sisi WAZALENDO wa nchi hii kujua Familia ya Babu Seya ina hadhi gani kiuhamiaji hadi sasa.
ANGALIZO: DRC ni mwanachama wa SADC nchi ambazo zimefutiana visa lakini hakuna hata nchi moja ya SADC waliokubali kuwafutia visa raia wa DRC unajua kwa nini?