Wewe kama mimi nduguNna akaunti yangu ya muda nilisahau pasword na namba niliyosajilia siikumbuki tena, natamani niifungie ile akaunt au niweze kuirejesha ila nimeshindwa.
Vyote ulivyovitaja sina.Namba ya simu/email uliyofungulia akaunti unayo?
Nilikuwa na akaunti mbili Ambazo nilisha sahau namba na password zake! Kama sijasahau niliziripoti facebook na zikafutwa.Nna akaunti yangu ya muda nilisahau pasword na namba niliyosajilia siikumbuki tena, natamani niifungie ile akaunt au niweze kuirejesha ila nimeshindwa.
MulemuleeNna akaunti yangu ya muda nilisahau pasword na namba niliyosajilia siikumbuki tena, natamani niifungie ile akaunt au niweze kuirejesha ila nimeshindwa.
Mbona nasikia hawafutagi profiles?Nilikuwa na akaunti mbili Ambazo nilisha sahau namba na password zake! Kama sijasahau niliziripoti facebook na zikafutwa.
Kuna maelezo mengi yalikuja ila nilianzia pale Kwenye kuripoti akaunti, na zote zikafutwa.
Mimi za kulikuwa na akaunti mbili Ambazo nilisha sahau namba zake na password, roho ilikuwa inaniuma maana ni akaunti zilikuwa moto sana!Mbona nasikia hawafutagi profiles?
Thanks kaka. Natajaribu hiiNilikuwa na akaunti mbili Ambazo nilisha sahau namba na password zake! Kama sijasahau niliziripoti facebook na zikafutwa.
Kuna maelezo mengi yalikuja ila nilianzia pale Kwenye kuripoti akaunti, na zote zikafutwa.
Profile zinafutwa japo inachukua siku 30 kufuta kabisa tangu umeanza deleting processMbona nasikia hawafutagi profiles?
Sasa umesahau pssword utaifutaje iyo accoun bila ku-login?Profile zinafutwa japo inachukua siku 30 kufuta kabisa tangu umeanza deleting process
Mimi nilifanikiwa kuwaomba facebook wenyewe wakaifuta! Nili iripoti na zikafutwa zote mbiliSasa umesahau pssword utaifutaje iyo accoun bila ku-login?
nmeshareport kwa akaunti nyingine lakini hadi leo haijafutwa.Nilikuwa na akaunti mbili Ambazo nilisha sahau namba na password zake! Kama sijasahau niliziripoti facebook na zikafutwa.
Kuna maelezo mengi yalikuja ila nilianzia pale Kwenye kuripoti akaunti, na zote zikafutwa.
Unaanzaje deleting process mkuu kwa profile umesahau password, mbona kuna mtu anasema haziwagi permanent deletion?Profile zinafutwa japo inachukua siku 30 kufuta kabisa tangu umeanza deleting process
Unareport wapi ifutwe kama hukumbuki password??? Mimi kuna profile linaniuma sana...mbaya niliweka picha..nmeshareport kwa akaunti nyingine lakini hadi leo haijafutwa.
Ndio kinachowaponza watu ..Nashukuru yakwangu sikua nimeweka picha, nilituma poat moja tu ya maneno ya kawaida.
Hii issue inawatesa wengi hasa ukute mtu alikua anapoat sana picha au anaandika ujinga ujinga wa ujana na utoto.
Weka hio process mkuu...unaingia wapi kureport?Kama alivosema mkuu hapo. Report mwenye account deceased.