Eti UKAWA utakumbwa na tafrani na kusambaratika katika wiki ya kwanza ya September 2015

C.K

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
394
162
Kuna mtu mmoja humu aliwahi kutuhadaisha kuwa UKAWA utakumbwa na tafrani nzito na ya aina yake katika wiki ya kwanza ya sept. 2015 na huo ndio utakuwa mwisho wa UKAWA na harakati zake... Swali, yuko wapi huyo mtabiri feki ajibu nini kimetokea?!! Mbona UKAWA bado mwendo mdundo na ndiyo inazidi kutikisa? Au bomu walilotega limewalipukia wenyewe nini, hahahaaaaaaaaaaaaa..... usicheze na nguvu ya umma aiseeeee
 
dozi ilikuwa
i.v gwajima start then tabs kubenea o.d 14/7

mpaka sasa political immune-defience slaa kwisha habari yake
sasa hivi tuko tunatengeneza chanjo kuikinga ukawa na virus ccm


Kuna mtu mmoja humu aliwahi kutuhadaisha kuwa UKAWA utakumbwa na tafrani nzito na ya aina yake katika wiki ya kwanza ya sept. 2015 na huo ndio utakuwa mwisho wa UKAWA na harakati zake... Swali, yuko wapi huyo mtabiri feki ajibu nini kimetokea?!! Mbona UKAWA bado mwendo mdundo na ndiyo inazidi kutikisa? Au bomu walilotega limewalipukia wenyewe nini, hahahaaaaaaaaaaaaa..... usicheze na nguvu ya umma aiseeeee
 
Si ndo walitegemea uharibifu wa dr slaa ungekuwa na hamasa kubwa!!
 
Kuna mtu mmoja humu aliwahi kutuhadaisha kuwa UKAWA utakumbwa na tafrani nzito na ya aina yake katika wiki ya kwanza ya sept. 2015 na huo ndio utakuwa mwisho wa UKAWA na harakati zake... Swali, yuko wapi huyo mtabiri feki ajibu nini kimetokea?!! Mbona UKAWA bado mwendo mdundo na ndiyo inazidi kutikisa? Au bomu walilotega limewalipukia wenyewe nini, hahahaaaaaaaaaaaaa..... usicheze na nguvu ya umma aiseeeee

Simkumbuki vizuri, Lizaboni anaweza kumkumbuka.
 
Kuna mtu mmoja humu aliwahi kutuhadaisha kuwa UKAWA utakumbwa na tafrani nzito na ya aina yake katika wiki ya kwanza ya sept. 2015 na huo ndio utakuwa mwisho wa UKAWA na harakati zake... Swali, yuko wapi huyo mtabiri feki ajibu nini kimetokea?!! Mbona UKAWA bado mwendo mdundo na ndiyo inazidi kutikisa? Au bomu walilotega limewalipukia wenyewe nini, hahahaaaaaaaaaaaaa..... usicheze na nguvu ya umma aiseeeee

walitegemea Padre mzinifu na mla wake za watu Slaa ataondoka na wafuasi, wamesahau kinachoifanya UKAWA kuwa UKAWA ni agenda na sio mtu....

Wameishia kumshambulia babu wa watu EL na ugonjwa wake... kama mtu mgonjwa wanahangaika nae nini??

CCM should remember, time has changed big time
 
profilepic256717_1.gif


hao ndio akina hawa!
 
Kuna mtu mmoja humu aliwahi kutuhadaisha kuwa UKAWA utakumbwa na tafrani nzito na ya aina yake katika wiki ya kwanza ya sept. 2015 na huo ndio utakuwa mwisho wa UKAWA na harakati zake... Swali, yuko wapi huyo mtabiri feki ajibu nini kimetokea?!! Mbona UKAWA bado mwendo mdundo na ndiyo inazidi kutikisa? Au bomu walilotega limewalipukia wenyewe nini, hahahaaaaaaaaaaaaa..... usicheze na nguvu ya umma aiseeeee
Sii baada ya kupoteza pesa zao kwa First lady.....
 
Nawewe mbona unarudia thread hiyo mara nyingi je unataka kutuhadaa ili ufanye jambo la kuangamiza ukawa? Maana ccm mmekuwa wajanja kuliko shetani
 
Nawewe mbona unarudia thread hiyo mara nyingi je unataka kutuhadaa ili ufanye jambo la kuangamiza ukawa? Maana ccm mmekuwa wajanja kuliko shetani

We nae mburura tu itakuwa, au yanakuchoma nini hayo maneno?!! Mithali 26:4 Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye...
 
Wameishia kula vichapo pale makao makuu ya chama kila wakienda
 
Ninavyoshangaa ni jinsi wasivyo na adabu na kukosa ustaarabu. Lizaboni njoo uwaombe radhi wana JF, sio vizuri kukausha namna hiyo. Ulikuwa upate ban ya nguvu lakini bahati yako mods wamekusetiri.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: C.K
Back
Top Bottom