Elimu ya Josephat Gwajima inatia mashaka

Nimekuwa napata shida sana kutokana na elimu ya Gwajima . Tokea kipindi akitangazia umma na akiliamsha dude pale Kanisani kwake, basi ,nikawa napata shida kutokana na matamshi yake.

Kila kazi ina miiko yake. Askofu hatakiwi kutoa siri za muumini wake hata kama huyo muumini amelihama kanisa lake. Hapa niliona kwenye YouTube Gwajima akisema mambo ya siri ya mke wa Dkt. Slaa.

Leo nimeangalia tovuti ya kanisa la Gwajima. Katika hii tovuti ambayo ameandaa yeye mwenyewe nimeona mambo yafuatayo:
  • Gwajima amezaliwa mwaka 1970
  • Amemaliza shule ya msingi mwaka 1985
  • Amemaliza shule ya sekondari Olevel mwaka 1993. Alichelewa kumaliza secondary sababu ya maradhi.
  • Alimaliza Advanced Diploma in Bible and Theology mwaka 1994 mjini Nairobi Kenya. Hapa ndo pana ufisadi wa elimu. Yaani alisoma stashahada ya juu kwa mwaka mmoja tena baada ya kumaliza olevel. Kwa maoni yangu, huyu alichosoma ni level ya certificate. Matatizo ya Gwajima it yanaanzia hapa.
  • Baada ya hiyo Advanced Diploma yake ambayo ni magumashi, alijiunga na chuo kinaiitwa Japan Bible Institute na kusomea Master’s degree in Christian Missions June 2006 mpaka February 2008. Hapa nilitaka kujua ni kwanini hiyo institute ilikubali kumpa admission mwanafunzi ambaye ambaye ana only post secondary study ya mwaka mmoja tu, nikakuta hiyo institute yenyewe nayo ni ya kimagumashi. Hiyo institute haina hata physical address . Ni Chuo cha kwenye mtandao na pia kinatoa degree by experience. Yaani waweza pewa hata degree kwa kuwa una uzoefu. Hii masters degree yake kumbe ni utata mtupu na achilia mbali kwamba hana sifa za kujoin hata kozi ya degree ya kwanza.
  • Mwaka 2015 alipewa PhD na chuo cha kidini cha Afrika ya Kusini kinaitwa Omega Global University. Kwenye tovuti ya chuo hiki pana maelezo kwamba kinatoa honorary PhD. Gwajima haoneshi kwenye tovuti yake ni mwaka gani alijoin hiki chuo wala lini alimaliza. Pia, hiyo miaka, Gwajima alishakuwa na kanisa la misukule huko Ubungo na baadae kuhahmia Kawe. Tena ni mwaka ambao alikuwa mshenga wa kumleta Lowassa Chadema na baadaye kututobolea siri ya vyeti vya mkuu wa mkoa aitwaye Bashite. Hivyo basi, PhD hii ni ya heshima.
  • Mwisho, kwa maoni yangu, elimu ya Gwajima ambayo haina mashaka kabisa ni ile ya form four mwaka 1993.
References
Ila elimu ya Mbowe haitii mashaka. Kilaza oyeeeeeeeeeeee.

UNATAKA KUVUSHWA NA KILAZA.
 
Katika Karne hii, bado Kuna watu mnajivunia elimu zenu za kwenye makaratasi, ambazo pengine hazijawasaidia kabisa🤔?
 
Kuna kitu unakikosa kabisa. Degree ya theology au philosophy haikufanyi uwe Padre au Mchungaji. Leo hii unaweza kumaliza masomo yako ya kidato cha sita, kama umesoma bible knowledge na ukafaulu , una uwezo wa kuomba kusomea theology kwenye chuo kikuu kinachotoa degree hiyo, lakini ukimaliza masomo yako, hata kama ni mkatoliki au mluteri au anglikana, hutakuwa padre wala mchungaji.

Kwa wakatoliki ili uwe padre itakulazimu ukaombe kwenye mamlaka za Kanisa, ukikubaliwa, utalazimika kupata malezi ya kipadre, ukipass, itakuwa shemasi, na ndipo unapadrishwa. Hayo yamefafanuliwa kwenye Canon Law.

Kama umemaliza masomo ya dini, unataka kuwa mchungaji, itabidi ukaombe kuwa mchungaji kwenye mamlaka ya kanisa unalotaka kuhudumu, nao watakupima kwa vigezo vya dini yao, ikiwemo elimu yako.

Degree ya theology, siyo ya dini fulani. Degree ya divinity ni universal, siyo ya dini fulani. Ndiyo maana utajifunza kuhusu dini zote. Hata wewe, kama una qualifications, unaweza kusomea theology, lakini ukimaliza haina maana utakuwa padre au mchungaji.

Kwetu hapa Tanzania, makanisa kama RC, yana shule zao zinazotoa elimu ya theology na philosphy lakini havitoi degree, zinatambulika kama shule za dini. Lakini wakimaliza kwenye shule hizi, wanakubaliwa kujiunga na vyuo vikuu duniani vinavyotambulika kwaajili ya degree ya theology.

Kent university kinamilikiwa na Kanisa la Anglican, sawa kama ilivyo St. Augustin. Hakitoi degree kwaajili ya anglicans, na wala usidhani kama wewe ukiwa anglican, ukimaluza tu hiyo degree unakuwa padre. Wengi wa wanaosoma theology kwenye chuo kama hicho wanakuwa tayari walishakuwa mapdre kabla hata ya kujiunga na chuo. Wanapomaliza wanarudi kuendelea na utumishi wao wa upadre. Lakini imezoeleka zaidi kwa kila kanisa mapadre wao au wachungaji kwenye vyuo vyao wanavyomiliki kwa masomo ya theology na divinity, kwa sababu tu kiutawala - una chuo chako, halafu upeleke mtumishi wako kwenye chuo cha kanisa jingine, na ukalipie tuition fees? Theology na divinity ni elimu na siyo imani. Mafundisho ya imani utayapata kwenye shule za dini.

Hata kwenye vyuo hivyo vinavyotoa degree za theology au divinity, vingi vinatoa na degree nyingine. Na kwenye vyuo hivyo hivyo, unawakuta mapadre au wachungaji ambao wanachukua degree za masomo mengine yasiyo na uhusiano na elimu ya dini.

Kwenye hili usinibishie. Navifahamu sana hivi vyuo, nina marafiki zangu wa karibu waliosomea degree of divinity lakini siyo mapadre. Ni academicians wanaofanya resaearch mbalimbali. Na wengine wanasomea degree hizo kwaajili ya ku-challenge mafundisho ya dini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu wangu nakubalina na nondo zako kwa asilimia 100.

Askofu Masangwa mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini kati kachukua degree yake Catholic University Kenya wakati KKKT ina chuo kikuu Makumira.Kwakuwa sifa za kujiunga na chuo kikuu ni sawa Duniani kote haijalishi umesoma chuo gani.

Sasa hii suala la Askofu Gwajima kusoma mwaka mmoja na sifa ya form four div 4 kwa hakika asingepokelewa Makumira au Catholic university.
 
TULIPANDA TRENI YAKE, SASA TUTAPANDA BOAT. TUTAMCHAGUA.

Na, Robert Hereil

Mara yangu ta kwanza kupanda Treni ilikuwa kipindi natoka Mwenge naelekea Bunju B, nikienda kumsalimia Mjomba huko Mabwepande. Sikuwahi kufikiri kuwa Usafiri wa Treni ni mzuri kiasi kile. Nilipouliza ile Treni ni ya Nani, nikajibiwa ni Treni ya Askofu Gwajima, aliinunua. Nilimongeza kimoyo moyo, nikisema; huyu ndiye mtumishi wa Mungu.

Sasa, Askofu Gwajima anaomba Kura za Wana Kawe. Nawaomba wana Kawe mumchague, Mpeni kura zote za ndio.

Wote tuliopanda Treni yako tutakuchagua Ndugu Mgombea. Wote tuliopata huduma ya pipi ndani ya Treni yako tutakuchagua.

Wana Kawe kuanzia Lugalo, Mbezi Beach, Kunduchi, Tegeta, Mbweni, Boko, Bunju, na Mabwepande wote tutakuunga Mkono.

Gwajima anamoyo wa kutoa sana, hatuna cha kumlipa zaidi ya kumpa kura zetu za ndio.

Tutakuchagua Gwajima
Tutakupigia Kampeni
Tutahakikisha unapata kura zote.

Kama kuna mwana Kawe ambaye hajapanda Treni yako, anyoshe mikono juu, huyo anahaki ya kutokukuchagua.
Kama kuna mwana Kawe ambaye hapata huduma ya Pipi kwenye Treni yako huyo asikuchague.

Lakini sisi Tutakuchagua,

Hima tukamchague aliyetuletea Treni kutoka Mwenge Mpaka Bunju B.

Baada ya kutimiza ahadi ya Treni na wote tunaiona na tumeipanda. Sasa katuahidi endapo tukimchagua atafanya makubwa zaidi. Atanunua Boat za kisasa za uvuvi, si mnajua Jimbo letu la Kawe limepakana na Bahari ya Hindi, tutavua mpaka tukome, Piga kelele kwa Gwajimaaa! Woyooo!

Kama aliweza kununua Treni na sasa inafanya kazi na tunapanda kila siku kutoka Mwenge mpaka Bunju, kwa nini tusimuamini kuwa atanunua Boat, kisha atanunua Ambulance, woyooo!

Gwajima ni msema kweli
Kawe inamfahamu
Kawe itamchagua

Kawe ya Treni, Kawe ya Boat, Kawe ya Uvuvi, Kawe ya AMbulance.

Hima tumchague mtimiza ahadi.

Maboss wangu wa KAWE, Wazee wangu wa KAWE, Wamama wa kawe, Vijana wa Kawe. Tumchague Gwajima.
Ila Kama hukuwahi kupanda Treni yake, wala hujawahi kuiona basi usimchague.

Yapendeza Treni Yake, Yang'aa Boat zake.

Mtumie mwana Kawe yeyote unayemfahamu ujumbe huu, ili Gwajima apate kura zote.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300




Maboss wangu wa KAWE, Wazee wangu wa KAWE, Wamama wa kawe, Vijana wa Kawe. Tumchague Gwajima.
Ila Kama hukuwahi kupanda Treni yake, wala hujawahi kuiona basi usimchague.

hapo sasa
 
Nimekuwa napata shida sana kutokana na elimu ya Gwajima . Tokea kipindi akitangazia umma na akiliamsha dude pale Kanisani kwake, basi ,nikawa napata shida kutokana na matamshi yake.

Kila kazi ina miiko yake. Askofu hatakiwi kutoa siri za muumini wake hata kama huyo muumini amelihama kanisa lake. Hapa niliona kwenye YouTube Gwajima akisema mambo ya siri ya mke wa Dkt. Slaa.

Leo nimeangalia tovuti ya kanisa la Gwajima. Katika hii tovuti ambayo ameandaa yeye mwenyewe nimeona mambo yafuatayo:
  • Gwajima amezaliwa mwaka 1970
  • Amemaliza shule ya msingi mwaka 1985
  • Amemaliza shule ya sekondari Olevel mwaka 1993. Alichelewa kumaliza secondary sababu ya maradhi.
  • Alimaliza Advanced Diploma in Bible and Theology mwaka 1994 mjini Nairobi Kenya. Hapa ndo pana ufisadi wa elimu. Yaani alisoma stashahada ya juu kwa mwaka mmoja tena baada ya kumaliza olevel. Kwa maoni yangu, huyu alichosoma ni level ya certificate. Matatizo ya Gwajima it yanaanzia hapa.
  • Baada ya hiyo Advanced Diploma yake ambayo ni magumashi, alijiunga na chuo kinaiitwa Japan Bible Institute na kusomea Master’s degree in Christian Missions June 2006 mpaka February 2008. Hapa nilitaka kujua ni kwanini hiyo institute ilikubali kumpa admission mwanafunzi ambaye ambaye ana only post secondary study ya mwaka mmoja tu, nikakuta hiyo institute yenyewe nayo ni ya kimagumashi. Hiyo institute haina hata physical address . Ni Chuo cha kwenye mtandao na pia kinatoa degree by experience. Yaani waweza pewa hata degree kwa kuwa una uzoefu. Hii masters degree yake kumbe ni utata mtupu na achilia mbali kwamba hana sifa za kujoin hata kozi ya degree ya kwanza.
  • Mwaka 2015 alipewa PhD na chuo cha kidini cha Afrika ya Kusini kinaitwa Omega Global University. Kwenye tovuti ya chuo hiki pana maelezo kwamba kinatoa honorary PhD. Gwajima haoneshi kwenye tovuti yake ni mwaka gani alijoin hiki chuo wala lini alimaliza. Pia, hiyo miaka, Gwajima alishakuwa na kanisa la misukule huko Ubungo na baadae kuhahmia Kawe. Tena ni mwaka ambao alikuwa mshenga wa kumleta Lowassa Chadema na baadaye kututobolea siri ya vyeti vya mkuu wa mkoa aitwaye Bashite. Hivyo basi, PhD hii ni ya heshima.
  • Mwisho, kwa maoni yangu, elimu ya Gwajima ambayo haina mashaka kabisa ni ile ya form four mwaka 1993.
References
Tapeli la Kimataifa😀
 
Nimekuwa napata shida sana kutokana na elimu ya Gwajima . Tokea kipindi akitangazia umma na akiliamsha dude pale Kanisani kwake, basi ,nikawa napata shida kutokana na matamshi yake.

Kila kazi ina miiko yake. Askofu hatakiwi kutoa siri za muumini wake hata kama huyo muumini amelihama kanisa lake. Hapa niliona kwenye YouTube Gwajima akisema mambo ya siri ya mke wa Dkt. Slaa.

Leo nimeangalia tovuti ya kanisa la Gwajima. Katika hii tovuti ambayo ameandaa yeye mwenyewe nimeona mambo yafuatayo:
  • Gwajima amezaliwa mwaka 1970
  • Amemaliza shule ya msingi mwaka 1985
  • Amemaliza shule ya sekondari Olevel mwaka 1993. Alichelewa kumaliza secondary sababu ya maradhi.
  • Alimaliza Advanced Diploma in Bible and Theology mwaka 1994 mjini Nairobi Kenya. Hapa ndo pana ufisadi wa elimu. Yaani alisoma stashahada ya juu kwa mwaka mmoja tena baada ya kumaliza olevel. Kwa maoni yangu, huyu alichosoma ni level ya certificate. Matatizo ya Gwajima it yanaanzia hapa.
  • Baada ya hiyo Advanced Diploma yake ambayo ni magumashi, alijiunga na chuo kinaiitwa Japan Bible Institute na kusomea Master’s degree in Christian Missions June 2006 mpaka February 2008. Hapa nilitaka kujua ni kwanini hiyo institute ilikubali kumpa admission mwanafunzi ambaye ambaye ana only post secondary study ya mwaka mmoja tu, nikakuta hiyo institute yenyewe nayo ni ya kimagumashi. Hiyo institute haina hata physical address . Ni Chuo cha kwenye mtandao na pia kinatoa degree by experience. Yaani waweza pewa hata degree kwa kuwa una uzoefu. Hii masters degree yake kumbe ni utata mtupu na achilia mbali kwamba hana sifa za kujoin hata kozi ya degree ya kwanza.
  • Mwaka 2015 alipewa PhD na chuo cha kidini cha Afrika ya Kusini kinaitwa Omega Global University. Kwenye tovuti ya chuo hiki pana maelezo kwamba kinatoa honorary PhD. Gwajima haoneshi kwenye tovuti yake ni mwaka gani alijoin hiki chuo wala lini alimaliza. Pia, hiyo miaka, Gwajima alishakuwa na kanisa la misukule huko Ubungo na baadae kuhahmia Kawe. Tena ni mwaka ambao alikuwa mshenga wa kumleta Lowassa Chadema na baadaye kututobolea siri ya vyeti vya mkuu wa mkoa aitwaye Bashite. Hivyo basi, PhD hii ni ya heshima.
  • Mwisho, kwa maoni yangu, elimu ya Gwajima ambayo haina mashaka kabisa ni ile ya form four mwaka 1993.
References
Mbona unakwenda mbali? Mchungaji ameomba nafasi ya ubunge. Jee vigezo vya elimu kwenye nafasi hiyo ni vipi? Jee yeye anakidhi vigezo hivyo vya kisheria???? Tuache longolongo. Nchini kuna vyama zaidi ya 15 na nafasi ya ubunge zilikuwa wazi kwenye vyama vyote hivyo.
Kwa nini elimu ya Gwajima iwe nongwa? Kufaa kwa mchungaji huyu kwenye nafasi hiyo wameachiwa wananchi wa eneo hilo. Hebu tuwaache wafanye maamuzi yao.
 
Nimekuwa napata shida sana kutokana na elimu ya Gwajima . Tokea kipindi akitangazia umma na akiliamsha dude pale Kanisani kwake, basi ,nikawa napata shida kutokana na matamshi yake.

Kila kazi ina miiko yake. Askofu hatakiwi kutoa siri za muumini wake hata kama huyo muumini amelihama kanisa lake. Hapa niliona kwenye YouTube Gwajima akisema mambo ya siri ya mke wa Dkt. Slaa.

Leo nimeangalia tovuti ya kanisa la Gwajima. Katika hii tovuti ambayo ameandaa yeye mwenyewe nimeona mambo yafuatayo:
  • Gwajima amezaliwa mwaka 1970
  • Amemaliza shule ya msingi mwaka 1985
  • Amemaliza shule ya sekondari Olevel mwaka 1993. Alichelewa kumaliza secondary sababu ya maradhi.
  • Alimaliza Advanced Diploma in Bible and Theology mwaka 1994 mjini Nairobi Kenya. Hapa ndo pana ufisadi wa elimu. Yaani alisoma stashahada ya juu kwa mwaka mmoja tena baada ya kumaliza olevel. Kwa maoni yangu, huyu alichosoma ni level ya certificate. Matatizo ya Gwajima it yanaanzia hapa.
  • Baada ya hiyo Advanced Diploma yake ambayo ni magumashi, alijiunga na chuo kinaiitwa Japan Bible Institute na kusomea Master’s degree in Christian Missions June 2006 mpaka February 2008. Hapa nilitaka kujua ni kwanini hiyo institute ilikubali kumpa admission mwanafunzi ambaye ambaye ana only post secondary study ya mwaka mmoja tu, nikakuta hiyo institute yenyewe nayo ni ya kimagumashi. Hiyo institute haina hata physical address . Ni Chuo cha kwenye mtandao na pia kinatoa degree by experience. Yaani waweza pewa hata degree kwa kuwa una uzoefu. Hii masters degree yake kumbe ni utata mtupu na achilia mbali kwamba hana sifa za kujoin hata kozi ya degree ya kwanza.
  • Mwaka 2015 alipewa PhD na chuo cha kidini cha Afrika ya Kusini kinaitwa Omega Global University. Kwenye tovuti ya chuo hiki pana maelezo kwamba kinatoa honorary PhD. Gwajima haoneshi kwenye tovuti yake ni mwaka gani alijoin hiki chuo wala lini alimaliza. Pia, hiyo miaka, Gwajima alishakuwa na kanisa la misukule huko Ubungo na baadae kuhahmia Kawe. Tena ni mwaka ambao alikuwa mshenga wa kumleta Lowassa Chadema na baadaye kututobolea siri ya vyeti vya mkuu wa mkoa aitwaye Bashite. Hivyo basi, PhD hii ni ya heshima.
  • Mwisho, kwa maoni yangu, elimu ya Gwajima ambayo haina mashaka kabisa ni ile ya form four mwaka 1993.
References
yaani hata bila kupekenyua.... kwa kigezo cha yale yanayomtoka kinywani mwake unaweza kumtambua tu kuwa hata form 4 anaweza akawa hakufika kabisa, ama la kama alifika inaweza kuwa ilikuwa ni miswaki mwanzo mwisho!
 
Gwajima ni muhuni mwenzetu ndani ya kivuli cha dini.
Gwajima anakula kondoo na watenda kazi
Gwajima anapiga sarakasi za kufufua maiti, alisema angemfufua Amina chifupa na hakuweza. Maiti zimejaa mortuary na hajawahi kwenda huko kuzifufua
Gwajima ni janjajanja tu kama BOB LUSE Lusekelo.
Gwajima ni agent wa shetani, hamna mtumishi wa MUNGU ambaye ni mwanasiasa
Huu haswa ndiyo wasifu wa huyu janja janja
 
Mambo ya huyu jamaa ni ya kitapeli tapeli..elimu yenyewe magumashi matupu kama ya kwangu tu.

Huyu si wa kumpa jimbo wana kawe; huyu hatufai hata kidogo...
 
Hahaha halafu wakafukuza PhD zenye vyeti fake vya form four!?
Yaani daktari alietumia cheti cha form four cha nduguye aliyeenda jeshi akafanya upasuaju kwa miaka kumi ++ kwa mafanikio!!eti unamfukuza!!! badala ya kudhibiti matumizi ya "impersonalization" kwa siku za usoni!! inasikitisha kwa kiwango fulani. Haya basi mpe japo michango yake ya mifuko ya jamii, hakuna!!! Kwani the means justify the ends in-hold?
 
Back
Top Bottom