Tetesi: Ebola in East Africa

komora096

JF-Expert Member
Sep 26, 2018
20,548
5,646
Duh!!jamaa kiukwel hizi habari zimenishtua sana..yani sijui serikali zetu zikoje, manake huku WHO wanasema kuna mgonjwa wa ebola aliingia tanzania wakati waziri wa tanzania juzi tu kapinga kuhusu hzo taarifa..

Sasa sijui wakumuamini nani..manake sasa ni balaa km itakua ni kweli..sijui hao maafisa wa uhamiaji mipakani wanafanya kazi gani haswa...ishu km hz si za kuzichukulia poa, km mtu kafika mpka dar.Nairobi, Mobasa,kampala,kigali patakua salama kweli...manake nijuavyo mm east africa kuna mizunguko ya watu wengi sana...

Kwhyo itabidi hili swala tulitilie maanani..manake ni kuhusu maisha ya walio wengi...
 
Cc. Mk254
Screenshot_20190917-003224_Lite.jpeg
FB_IMG_15686695671416709.jpeg
 
Hatari sana ukizingatia mpaka wetu na Tz ni mrefu sana na wapo watu wa pande zote mbili huingiliana bila kupitia taratibu zozote.
 
Hizi serikali zetu hizi huwa majanga matupu zenyewe huangalia maslahi ya kiuchumi zaidi kuliko afya za watu wake
 
Hatari sana ukizingatia mpaka wetu na Tz ni mrefu sana na wapo watu wa pande zote mbili huingiliana bila kupitia taratibu zozote.

Kwa hili nami siungi mkono suala hili la kuleta siasa kwenye uhai wa maisha ya watu. Kama mtu kakuelezea jinsi mtu alivyoingia nchini na wapi kapita nilitegemea wangeanza uchunguzi badala ya kukataa. Serikali zetu shida kweli
 
Dada amefariki mwananyamala ni Dr alitokea Uganda.

Kama ni uongo wabishe wale manesi waliowekwa kambin mpaka sasa
 
Sasa hao WHO kama walikuwa wanamfuatilia huyo dada mwenye ebola kwa nini hawakumzuia hadi aingie bongo!!! Hao nao wana agenda binafsi,serikali ya tz iwe macho na hawa waseng tukiendelea kuwachekea watatuletea majanga siku moja

Hakuna ebola bongo na kama ipo basi imeletwa na haohao WHO
 
Sasa hao WHO kama walikuwa wanamfuatilia huyo dada mwenye ebola kwa nini hawakumzuia hadi aingie bongo!!! Hao nao wana agenda binafsi,serikali ya tz iwe macho na hawa waseng tukiendelea kuwachekea watatuletea majanga siku moja

Hakuna ebola bongo na kama ipo basi imeletwa na haohao WHO

Sio majukumu ya WHO kuzuia au kuruhusu msafiri yeyote, wao wakishuku unalo tatizo fulani wanaanza kufuatilia taarifa za ulikotoka, kwa mujibu wa hiyo picha utaona huyo mwanamke kapitia pitia vituo vya afya, hivyo ni kazi rahisi kupata taarifa hizo.
Serikali ndio ziwe makini.

Pale mpakani Namanga pande zote mbili walikua wameanza zoezi la kuhakikisha unasimama kwenye alama fulani kisha unaangaza macho kuelekeza kwenye kidubwasha fulani, kisha ndio unaruhusiwa kupita, ila siku hizi watu wanapita tu, wao wanakagua kadi ya homa ya njano basi.

Hapa panahitaji ushirikiano wa hali ya juu baina ya haya mataifa, Mtanzania akiathirika ifahamike hata sisi Wakenya hatutakua salama na pia vivyo hivyo inaweza ikaanzia huku Kenya kuja huko.
 
Sio majukumu ya WHO kuzuia au kuruhusu msafiri yeyote, wao wakishuku unalo tatizo fulani wanaanza kufuatilia taarifa za ulikotoka, kwa mujibu wa hiyo picha utaona huyo mwanamke kapitia pitia vituo vya afya, hivyo ni kazi rahisi kupata taarifa hizo.
Serikali ndio ziwe makini.
Pale mpakani Namanga pande zote mbili walikua wameanza zoezi la kuhakikisha unasimama kwenye alama fulani kisha unaangaza macho kuelekeza kwenye kidubwasha fulani, kisha ndio unaruhusiwa kupita, ila siku hizi watu wanapita tu, wao wanakagua kadi ya homa ya njano basi.
Hapa panahitaji ushirikiano wa hali ya juu baina ya haya mataifa, Mtanzania akiathirika ifahamike hata sisi Wakenya hatutakua salama na pia vivyo hivyo inaweza ikaanzia huku Kenya kuja huko.
Acha kuleta porojo hapa,sasa wanafanya nini!!
Yaani waafrika tumeambukizwa porojo porojo tumekuwa kama mazezeta
 
Acha kuleta porojo hapa,sasa wanafanya nini!!
Yaani waafrika tumeambukizwa porojo porojo tumekuwa kama mazezeta

Wewe ndiye unaonyesha dalili za uzezeta, kama umewahi kubahatika kutoka nje ya Tanzania, lini uliona afisa wa WHO mpakani au kwenye uwanja wa ndege akitia stamp kwenye hati yako ya usafiri, utakua na kasoro ya kiaina kulaumu WHO kwa hili.
 
Wewe ndiye unaonyesha dalili za uzezeta, kama umewahi kubahatika kutoka nje ya Tanzania, lini uliona afisa wa WHO mpakani au kwenye uwanja wa ndege akitia stamp kwenye hati yako ya usafiri, utakua na kasoro ya kiaina kulaumu WHO kwa hili.
Hao ndo wanatuletea magonjwa ya ajabu ajabu huku africa ,halafu tunawatetea sisi waafrika siku tukija kupata akili hawa wasenge washatuumiza sana..hao ndo wanaotuletea magonjwa ya ajabu ajabu huku afrika,wanatutumia kwenye majaribio yao halafu sisi tunajifanya tunawajua sana,eti kusafiri nje ya tanzania,mambo madogo kama haya kuyajua si lazima uwe umeenda ulaya au america
 
Kwanza tuelewe kuwa hili ni suala la kitaalamu, sio suala la hisia tu. Na pia ni suala la usalama wa nchi. Kutangaza nchi ina ebola unafikiri ni kiasi gani kutakuwa na taharuki, unajua ni kiasi gani itaathiri shughuli za kibadamu na kiuchumi? Muhimu ni kuchukua tahadhari maana kuna watu wengi wanasafiri kuingia na kutoka Congo kuja huku Africa Mashariki mtu yeyote anaweza kuwa ameubeba huo ugonjwa.

So muelewe kuwa serikali kuwa kimya sio kwa kutukomoa, inachukua tahadhari zote na kujihakikishia kuwa kama ni salama kusema huo ugonjwaa upo au la.
 
Hao ndo wanatuletea magonjwa ya ajabu ajabu huku africa ,halafu tunawatetea sisi waafrika siku tukija kupata akili hawa wasenge washatuumiza sana..hao ndo wanaotuletea magonjwa ya ajabu ajabu huku afrika,wanatutumia kwenye majaribio yao halafu sisi tunajifanya tunawajua sana,eti kusafiri nje ya tanzania,mambo madogo kama haya kuyajua si lazima uwe umeenda ulaya au america

Ndio zile zile pumba za siku zote, kulaumu mabeberu kwa ujinga wetu wenyewe, kwani mbona tumekaa kama mazwazwa kazi yetu kuambukizwa tu, hizi shule tunaenda kusomea ujinga sio????
 

Wenye akili fupi hawawezi kukuelewa.
Kwanza tuelewe kuwa hili ni suala la kitaalamu, sio suala la hisia tu. Na pia ni suala la usalama wa nchi. Kutangaza nchi ina ebola unafikiri ni kiasi gani kutakuwa na taharuki, unajua ni kiasi gani itaathiri shughuli za kibadamu na kiuchumi? Muhimu ni kuchukua tahadhari maana kuna watu wengi wanasafiri kuingia na kutoka Congo kuja huku Africa Mashariki mtu yeyote anaweza kuwa ameubeba huo ugonjwa.

So muelewe kuwa serikali kuwa kimya sio kwa kutukomoa, inachukua tahadhari zote na kujihakikishia kuwa kama ni salama kusema huo ugonjwaa upo au la.
 
Hii issue ya ebola kuna sehemu nimeisikia na inasemekana kuna watu wamechukuliwa na kufichwa kwa sababu hiyo .haya sio ya kufumbia macho aisee ni hatari sana
 
Yani we acha2...mabasi ya kutoka hadi msa yapo daily...km ni kueleta si ni rahisi sana..
Hatari sana ukizingatia mpaka wetu na Tz ni mrefu sana na wapo watu wa pande zote mbili huingiliana bila kupitia taratibu zozote.
 
Back
Top Bottom