Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,600
- 19,502
Jaribu kutafakari hapo ulipo, tangu umezaliwa, umepata akili, watu wangapi uliowaona wanapambania maisha ya dunia hii, wako wapo, yale waliyopambania yamewasaidia nini kwa maisha yao huko walikoenda?
Wanaweza kuwa wamekula bata, wamelala na wanawake wawatakao au wanaume wawatakao, wamejenga nyumba wazitakazo, wamepata hela wazitakazo, vyeo wavitakavyo, wameonea watu vya kutosha, wamepata sifa za kutosha, wamedhulumu vya kutosha, wameiba pesa za uma vya kutosha, mwisho wa siku wameviacha, je? huko walikoenda wameenda mahali gani?
ni masikini wangapi umewaona na haujawasaidia, wagonjwa wangapi umewaona haujawasaidia, wenye njaa wangapi hujawapa chakula, waliokosa ada shule wangapi umeishia tu kuwacheka na kusema hawana bidii kutafuta pesa ni ombaomba, maisha yanapita, huko utakakoenda, umeandaaje maisha yako?
Eeeh Bwana nisaidie, utakapomiliki juu Eeh Bwana unikumbuke!
Wanaweza kuwa wamekula bata, wamelala na wanawake wawatakao au wanaume wawatakao, wamejenga nyumba wazitakazo, wamepata hela wazitakazo, vyeo wavitakavyo, wameonea watu vya kutosha, wamepata sifa za kutosha, wamedhulumu vya kutosha, wameiba pesa za uma vya kutosha, mwisho wa siku wameviacha, je? huko walikoenda wameenda mahali gani?
ni masikini wangapi umewaona na haujawasaidia, wagonjwa wangapi umewaona haujawasaidia, wenye njaa wangapi hujawapa chakula, waliokosa ada shule wangapi umeishia tu kuwacheka na kusema hawana bidii kutafuta pesa ni ombaomba, maisha yanapita, huko utakakoenda, umeandaaje maisha yako?
Eeeh Bwana nisaidie, utakapomiliki juu Eeh Bwana unikumbuke!