Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,994
- 46,964
Hapo ni Haiti yaani acha tamaduni hata majina ya babu zao hawajuiAkinamama mpaka wazee kumbe huwa wanavaa bukta.Kwanini hawafuati utamaduni wa weusi wenzao wakavaa vitenge na kanga.
Wazungu walijua kuwapoteza aisee
Hawajui kitu chochote wala asili yao, zaidi ya kuwa weusi tu