Dunia iliishia 1999

Comments za wengi zinaprove ukweli uliouandika!!

Watu hawa reason wanabaki kupinga bila reasons!!

Mimi ninaamini GMO (Genetic modified seeds)zimemodify Kila kitu kutuhusu pale tulipokubali mbegu za maabara kama chakula kikuu tunachokula na kulima kila siku!!

Kifupi nakumbuka utoto wetu was miaka ya 90. Na utoto wa Leo was miaka 2000 naona Kuna vitu wanammis Hawa vijana!!

Sisi tulio kwenye industry ya elim na vijana tunaowalea tunaona tuna deal na modified robots!!

Sina tabia ya ku beza maandishi ya kiutafiti na nadharia coz Neva za seli za Bongo zetu Zina operate katika mawimbi tofauti Sana,inategemea wewe ubongo wako Una operate katika frequency zipi!!

Big up mleta mada Uzi was kufikirisha!!
Siku kuku akijua kua analishwa ili anenepe aliwe, hakika atakimbia, same to this concept iko programmed kua denied ili isoje leta shida,

Kitu ambacho watu hawajui ni kwama unapo hisi, unapoona unapo sikia zote ni function za ubongo ambazo zina kua kwenye mfumo wa electric charges, tech ina weza kusilate hisia yoyote kwenye ubongo wa bina damu na binadamu huyo hawezi kamwe kujua tofauti ya simulation na reality,, kamweee hatowezaaa,,,

Watu kubisha kwa nguvu zao zote ni moja ya code lines za simulation so mimi siwashangai
 
Matomaso tu watabisha hii nikajua najua mimi tu kumbe tupo wengi tunaojua hii siri,
Kiufupi tunaishi kwenye Matrix,
Haya tunayoishi ni maisha fake sababu tupo kwenye program maalumu,

Hata hizo comment zenu za kupinga ni Illusion tu

Kama mnabisha mnajua kwanini maisha hayaeleweki?

Full complex!
Ukuwa mvivu wa kufikiria, huwezi ku question haya mambo na siku zote mtu akija kukueleza utamuona chizi ila ukweli ni kwamba akili inakua haiwezi kuhandle kuchakata hizo data unazopewa,
 
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo

December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.

Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
Hizi ndoto za mchana huwa ni jau kweli 😂😂😂
 
Anything is possible, binadamu hatujui tumetoka wapi tunaelekea wapi, 90% ya members humu wanaamini dini na mambo ya moto na mbingu, vitu ambavyo havina proof yeyote zaidi ya hadithi za watu kale, mnamcheka aliyeleta uzi lakini anachoongea hakina tofauti na hadithi mnazopigiana kwenye nyumba zenu za ibada
 
Inaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo

December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.

Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
Hao aliens wao wanapata au kufaidika nini for taking all that trouble ya kutufanya tuone kama tunaendelea kuishi?
 
Back
Top Bottom