Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 5,327
- 17,124
Sasa mashoga kwenye harus za watu mkafuate nini?unaolewa mwezi wa saba nije πΉπΉ
Sasa mashoga kwenye harus za watu mkafuate nini?unaolewa mwezi wa saba nije πΉπΉ
πππ kausha basiππππππππππ.weeeeh acha basi...
Leo ndio nimemjua aiseeeee
Ngoja nivute shuka .πππ kausha basi
Ngoja nivute shuka .πππ kausha basi
Uvivu huo!! Vijana wenzio wote tumeamka tuko kuchakarika muda huu.!!Ngoja nivute shuka .
πππππ
πππππ Niacheni nimevurugwa...Uvivu huo!! Vijana wenzio wote tumeamka tuko kuchakarika muda huu.!!
Nyie ndo mnaomaliza sabuni na mafuta mkibaki home peke yenu π
πMi ninaye umechelewa kumjua anaitwa mwamba wa kaskazini π€πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Napenda sana SCI-FIKuna wafuatiliaji wa Movie za Science Fiction Sci Fi
Kuna wfuatliqji wa story zile za EFM
Na kuna hawa conspiracy theories
Wewe unafuatlia vyote .. unaupa kazi sana ubongo kuimagine vitu vya kufikirika
Mmmh hakika bangi siyo nzuri yaani 1999 juzi tu hpo leo tunaishi kwa nguvu ya Aliens? Ukiisha kopa itel yako unakuja Jf kuwaongopea watuInaweza kukushangaza ila ndio ukweli, huo
December 14 mwaka 1999 uli tokea mlipuko mkubwa sana wa bomu la nyuklia,, mlipuko ulio angamiza zaidi ya 98% ya watu wote duniani, na hao 2% walio salia walipata athali kubwa sana kiafya ulemavu na ukame uli jaa sababu ardhi haikuweza kustawi tena kutokana na sumu za mabomu hayo, kufika Dec 28 1999 huku binadamu akiishikwa tabu waweza kuja wageni kuto anga za mbali(Aliens) hali walio ikuta haikua kuridhisha wakachukua jukumu la kuchukua binadamu walio nusulika wakaondoka nao na kuwapeleka huko walipo toka ili kuwatibu, na kutengeneza simulation itakayo wafanya kuwa kwenye coma huku wakiona wanaishi Duniani kama kawaida, walifanya hivyo pia wakatengeneza binadamu wengi maabala na kuwaweka kwenye coma huku waki enjoy simulation ya duniani.
Watu wemyewe ndio sisi, hapa tupo kwenye simulation walio iandaa hao alien na hakuna lilicho real, vyote vilisha potea 1999, na dunia haikaliki tena imejaa sumu.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mmmh hakika bangi siyo nzuri yaani 1999 juzi tu hpo leo tunaishi kwa nguvu ya Aliens? Ukiisha kopa itel yako unakuja Jf kuwaongopea watu
Bangi imeingiaje hapaBangi Iruhusiwe tu.
Toa maoni yako
π€£π€£π€£ kwenderπ
Inashangaza sana kwakweli... Sema ameamua tu kufurahisha gengeMmmh hakika bangi siyo nzuri yaani 1999 juzi tu hpo leo tunaishi kwa nguvu ya Aliens? Ukiisha kopa itel yako unakuja Jf kuwaongopea watu