Kaka yake Mbowe kamuoa mdogo wake Bob MakaniBob Makani ni Baba Mkwe wa Mbowe?
Kaka yake Mbowe kamuoa mdogo wake Bob MakaniBob Makani ni Baba Mkwe wa Mbowe?
Danganya wajinga wenzio wanaoweza kuamini hizi propaganda za kichovu
Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.
Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.
Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.
Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.
Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?
Ulitaka akuoe wewe?Kaka yake Mbowe kamuoa mdogo wake Bob Makani
Sasa hicho ni chama cha kifalme
Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.
Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.
Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.
Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.
Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?
Unahamisha magoli siyo Mbowe tena ni kaka?Kaka yake Mbowe kamuoa mdogo wake Bob Makani