Dudley Mbowe anatosha kurithi Uenyekiti CHADEMA?


Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.

Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.

Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.

Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.

Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?
Danganya wajinga wenzio wanaoweza kuamini hizi propaganda za kichovu
 

Mtoto wa Freeman Mbowe ambaye anatajwa tajwa sana kurithi mikoba ya baba yake kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA.

Lakini mimi binafsi naona hatoshi sababu amekimbia na mishahara ya wafanyakazi wa kampuni ya baba yake mpaka sasa baadhi ya mali zao zinatakiwa kupigwa mnada.

Haiwezekani mtetezi wa wanyonge ukafanya dhulma ya jasho la watu.

Lakini pia kwenye maandamano na mikutano haonekani.

Sitaki kuona mambo anayafanya Museveni yanafanyika hapa nchini na Chadema.

Wewe unaonaje anatosha hatoshi kirithishwa chama na baba yake?
Sasa hicho ni chama cha kifalme

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom