Dr. Hussein Mwinyi ameituliza Zanzibar

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,678
21,230
Huyu Mwamba aisee amenishangaza. Ame niprove wrong, sikuwa na mwamini kivile.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Chini ya Dr Hussein Mwinyi mtoto wa Hayati Alihasani Mwinyi uongozi wake umepevusha amani na utulivu ndani ya visiwa vya Zanzibar.

Kuna utulivu wa juu sana ukilinganisha na awamu zilizopita. Hongera sana Dr Hussein Mwinyi ongeza juhudi kupunguza Uharifu mdogo mdogo ambao umetapakaa ktk mitaa na korido za Zanzibar.

Kumekuwepo na matukio ya vijana kupora watu mabarabarani na kuwaacha na majeraha ya mapanga visu na bisibisi. Tunaamini chini ya uongozi wako makini basi Jeshi la Polisil liongeze nguvu na kuacha Muhali watu wanaumia sana.

Weekend njema Wadau.
 
Huyu Mwamba aisee amenishangaza.
Ame niprove wrong, sikuwa na mwamini kivile.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Chini ya Dr Hussein Mwinyi mtoto wa Hayati Alihasani Mwinyi uongozi wake umepevusha amani na utulivu ndani ya visiwa vya Zanzibar.

kuna utulivu wa juu sana ukilinganisha na awamu zilizopita.
Hongera sana Dr Hussein Mwinyi ongeza juhudi kupunguza Uharifu mdogo mdogo ambao umetapakaa ktk mitaa na korido za Zanzibar.

Kumekuwepo na matukio ya vijana kupora watu mabarabarani na kuwaacha na majeraha ya mapanga visu na bisibisi.
Tunaamini chini ya uongozi wako makini basi Jeshi la Polisil liongeze nguvu na kuacha Muhali watu wanaumia sana.

Weekend njema Wadau.
Karume mdogo anasemaje
 
Huyu Mwamba aisee amenishangaza.
Ame niprove wrong, sikuwa na mwamini kivile.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Chini ya Dr Hussein Mwinyi mtoto wa Hayati Alihasani Mwinyi uongozi wake umepevusha amani na utulivu ndani ya visiwa vya Zanzibar.

kuna utulivu wa juu sana ukilinganisha na awamu zilizopita.
Hongera sana Dr Hussein Mwinyi ongeza juhudi kupunguza Uharifu mdogo mdogo ambao umetapakaa ktk mitaa na korido za Zanzibar.

Kumekuwepo na matukio ya vijana kupora watu mabarabarani na kuwaacha na majeraha ya mapanga visu na bisibisi.
Tunaamini chini ya uongozi wako makini basi Jeshi la Polisil liongeze nguvu na kuacha Muhali watu wanaumia sana.

Weekend njema Wadau.
Ni kweli Zanzibar imetulia kisi na hakun zile vurumai za wazanzibari vichaaambao kila leo wako barabarani kupinga kila kitu.
Suuhisho ilikuwa kumweka makamu wa Rais toka chama cha upinzani na kuunda serikali ya umoja, hapo waliliwa kingi.
Lakini si kwamab Husein Mwinyi wanampenda sana, wanampiga vijembe kila leo kuwa huyo ni Mmbara wa Mkuranga!
 
Back
Top Bottom