DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

Mbona hamna amani? Si mshapewa idhini na mmewapa kila kitu sasa unahangaika nini?

Hivi wanawake waliopita menopause hupata joto pia?

Imagine asubuhi yote hii umeamka na DP world kulikoni? Si mlipitisha azimio kwa kishindo kipi kinakuwasha tena?

Afterall huyo unaempambania yakiharibika hana cha kupoteza atakimbilia kwao Oman wewe utaenda sagika kula mbilimbi Maneromango uko hovyo sana!
mwulize mamako
 
Bi Mkubwa hamna mpingaji mkisahihishwa siyo kuwa mnapingw, mnapewa challlenge mfanye vizuri zaidi.

Hii kampuni inaeleweka sana, no disputing, don’t bring a wedge kwenye itikadi na imani, sote tunaijua Dubai, it is a modern city na uendeshaji wake ni western oriented, kwa hiyo siyo kitu kigenI. Dubai hakuna mafuta na Ndiyo maana wana flamboyantly Emirate Airways, DP World; etc etc
Heko.

Ynaufurahia uamuzi wa mama kuwaleta Waarabu wa Dubai au huufurahii?


Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Kwa mtindo huu wengi watakosa ajira tofauti na CCM wanavyosema nafasi nyingi za kazi zitapatikana na waliopo bandari kwa sasa katika ajira wanalindwa na mkataba hivyo hawatapoteza kazi zao.
 
Hao maharamia wakiarabu wana kesi kila taifa walipowekeza, kwani huko kote kwenye hayo makesi waliyofunguliwa hakuna mabinti wakuelezea teknolojia ya kushusha mizigo? Jiheshimu.

Samia ni shetani msaliti.
Sema Samia siyo Sukuma gang
 
Halafu nawashangaa sana utakuta mtu wa bara huko maji ya bahari ladha hajui mishipa ya shingo imesimama " bandari yetu bandari yetu" ... Agenda yao ni moja tu ! Uislamu basi !? Na ukanda...
 
Mnapiga promo kibao lakini hao DIPIWODI wakija wanaweka mimashine ya kishamba tu na mitecknolojia ya kizamani waliyodump huku UK/USA miaka 10 iliyopita ndiyo mnakuja kufungiwa nyinyi.
 
DP World wapo Dar, sasa hivi wameshaanza kuweka sawa mifumo ya TEHAMA.

Unafahamu kuwa Dubai ndiyo nchi iliyoanzisha kitu kinaitwa E Government kwa asilimia kubwa na mafanikio makubwa duniani? Wanatisha kiteknolojia.

Sasa wanauleta ujuzi wao Tanzania kwa kishindo.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Wapeleke Zanzibar kwanza
 
Kwa wataopedelea kusoma kwa Kiswahili kinachoelezwa kwenye post #1, warudi post#1 nimeweka tafsiri kwa msaada wa AI.


Mama anaupiga mwingi kimataifa.
 
Msukuma alisema kweli, muone binti akishusha makontena kama anacheza video game👇🏾




Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa AI:

Hi

Jina langu ni Amna Ghanem.

Mimi ni msimamizi (supervisor) wa uendeshaji kreni (cranes) kwa kutumia rimoti (remote control) katika bandari ya Jabel Ali inayoendeshwa na DP World, mojawapo kati ya bandari zenye shughuli nyingi Zaidi (busiest) ulimwenguni.

Unashuhudia hapa teknolojia ya hali ya juu ambayo imesaidia sana kubadilisha njia za kupakia na kushusha makontena kwenye meli.

Tunaanza na mafunzo kwa kutumia “simulators” zinazoonekana kama kitu halisi. Baada ya mafunzo ya wiki mbili kwenye “simulators” mwanafunzi anakuwa tayari kuanza kazi. Udhibiti wa mbali (remote) unaturuhusu kuendesha kreni (cranes) kutoka umbali wenye usalama kwa kutumia “joysticks” na vifungo badala ya kupanda mita 50 za ngazi kwenda juu ya kreni. Kamera zenye Vihisio (sensors) hukimbiza data kwa njia ya mtandao, ambao unatupa usalama kwa kutywezesha kufanya kazi kwa mbali lakini kama tupo karibu, chini ya vyombo hatari.

Kila siku nikifika hapa DP World naendelea kujisikia kuwa na msisimko wa kazi kwani kila kitu kinabadilika kwa haraka sana, hakuna kitu kinachooneka kipo vilevile kila kukicha.


Ushauri wangu (kwa kijana mwenzangu) ni kulenga kwenda kwenye kazi zenye ugumu, usiende kwa ajili ya wepesi wa kazi, kazi zenye ugumu zitakufanya ujielewe na kujijua wewe ni nani.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.

Ni vzr muwaelewe watanzania nn wanataka nn hawataki!! Vita ya watanzania dhidi ya DPW ni juu ya terms and conditions, longevity ya mkataba na maslahi ya Taifa!! NB; Watanzania hawakatai uwekezaji, tatizo ni terms and conditions ambazo zipo deployed kweny mikataba na percentage za mapato ndio changamoto na sielew wanaoingia mikataba tang enz hizo hua wana nia gan na Taifa!!
 
Kwa wataopedelea kusoma kwa Kiswahili kinachoelezwa kwenye post #1, warudi post#1 nimeweka tafsiri kwa msaada wa AI.


Mama anaupiga mwingi kimataifa.
Pambana mtaan kumechafuka hali tete! Pesa hakuna hivyo shikilia hapohapo kikubwa mkono uzame kinywani!!
 
Pambana mtaan kumechafuka hali tete! Pesa hakuna hivyo shikilia hapohapo kikubwa mkono uzame kinywani!!
AlhamduliLlah, usimtishe Muislam kula.

Tunafahamu mtowa rizki ni nani.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Back
Top Bottom