Dodoma ni kutamu jamani

george aloyce

JF-Expert Member
Aug 22, 2017
1,302
1,971
Habari zenu WanaJF mko poa kabisa,

Bila kuchelewa niende kwenye mada ya leo,

Niko Dodoma kibiashara nilichojione kinaleta raha Fulani hivi, aisee Dodoma kutamu jamani.

Nilianza na upande wa biashara kuko vizuri sana pamechangamka mno pia Kuna fulsa zaidi ya 1000

Pili wenyeji wa huku ni watu wakarimu sana pia ushirikina upo kwa asilimia 5 tu hasaa Hawa warangi na wachaga ndio watundu mno wa ushilikina hapa jijini.

Dodoma hakuna chuma ulete, Dodoma hakuna ujambazi nilishawai fanya biashara pale tegeta nyuki Dar aisee waha pale ni chuma ulete wa kutisha utadhani wote mganga wao mmoja ila kwa dodoma hio hakuna

Jambo linguine nililopendea dodoma bei zao za vitu kwa Sasa hazitofautiani na dar , kwa mfano TV nchi 32 huku ni laki mbili na kumi, vyakula bei ni nzuri, hotel bei ni nzur unapewa na pisi Kali za bule ukibisha njoo bobo nikuelekeze

Pia bar za dodoma ni full vibe aiseee Kila siku ni Bata tu
Changamoto ni ndogo zaidi kwa mfano vumbi na jua Kali mchana ila ikifika usiku nyuzi joto hufika 13 tu Hadi 10 yaani panakua na baridi kalii

Pia kwa upande wa mambo yetu yaleeee pisi kaliii zimejaa watoto wa kimbulu watoto wa kateshii manyara na warangi pia Kuna wasukuma wahaya Kila aina za pisi zimetoka Arusha dar wamejazana mno Dodoma, pia pale mjini Pana vyuo zaidi ya 20 aiseee dodoma imependelewa vyuo ni vingiii mno.

Kuna siku nilikua MAENEO ya general pale watoto wa chuo ni wakali visuu vinashindia mihogo kubana pesa ya bum

Kwa hio ukiwa dodoma kitendo Cha kutaka pisi ya kuitafuna ni kitendo cha dkk chache tu Tena sio wa kujiuza huku pisi za kutosha

Upande wa majengo malefu yanayojengwa ni hataki, huku midude inajengwa kila kukicha

Pia Kuna arena inajengwa kimyakimya aisee huku mama Samia kaamua kuitemgeneza dodoma pongezi kwake ni hayo tu.

Karibuni dodoma kalibuni muone uzuri wa Jiji wenye chuki mjinyonge
 
Habari zenu wana jf mko poa kabisa ,
Bila kuchelewa niende kwenye mada ya Leo ,

Niko dodoma kibiashara nilichojione kinaleta raha Fulani hivi , aisee dodoma kutamuu jamani
Nilianza na upande wa biashara kuko vizuri sana pamechangamka mno pia Kuna fulsa zaidi ya 1000

Pili wenyeji wa huku ni watu wakalimu sana pia ushilikina upo kwa asilimia 5 tu hasaa Hawa warangi na wachaga ndio watundu mno wa ushilikina hapa jijini

Dodoma hakuna chuma ulete , dodoma hakuna ujambazi nilishawai fanya biashara pale tegeta nyuki dar aisee waha pale ni chuma ulete wa kutisha utadhani wote mganga wao mmoja ila kwa dodoma hio hakuna

Jambo linguine nililopendea dodoma bei zao za vitu kwa Sasa hazitofautiani na dar , kwa mfano TV nchi 32 huku ni laki mbili na kumi , vyakula bei ni nzur , hotel bei ni nzur unapewa na pisi Kali za bule ukibisha njoo bobo nikuelekeze

Pia bar za dodoma ni full vibe aiseee Kila siku ni Bata tu
Changamoto ni ndogo zaidi kwa mfano vumbi na jua Kali mchana ila ikifika usiku nyuzi joto hufika 13 tu Hadi 10 yaani panakua na baridi kalii

Pia kwa upande wa mambo yetu yaleeee pisi kaliii zimejaa watoto wa kimbulu watoto wa kateshii manyara na warangi pia Kuna wasukuma wahaya Kila aina za pisi zimetoka Arusha dar wamejazana mno dodoma ,pia pale mjini Pana vyuo zaidi ya 20 aiseee dodoma imependelewa vyuo ni vingiii mno , Kuna siku nilikua MAENEO ya general pale watoto wa chuo ni wakali visuu vinashindia mihogo kubana pesa ya bum

Kwa hio ukiwa dodoma kitendo Cha kutaka pisi ya kuitafuna ni kitendo Cha dkk chache tu Tena sio wa kujiuza huku pisi za kutosha

Upande wa majengo malefu yanayojengwa ni hataki , huku midude inajengwa Kila kukicha

Pia Kuna arena inajengwa kimyakimya aisee huku mama Samia kaamua kuitemgeneza dodoma pongezi kwake ni hayo tu ,
Kalibuni dodoma kalibuni muone uzuri wa Jiji wenye chuki mjinyonge
Pamoja na hayo yote kila ikifika Ijumaa v8 zote utazikuta zinakimbilia Dar
 
Mimi kuna kitu cha tofauti nilikiona Dodoma kuliko Dar! Ukienda maeneo mengi ya Dodoma mjini, watu wengi karibu 99% ni wasafi wamevalia nguo nadhifu zilizofuliwa na kuwakaa vizuri alafu wote wana afya njema. Ni nadra kuona "choka mbaya mbavu nje" ukiwa maeneo ya Dodoma mjini tofauti na Dar. Dar popote uendapo utakutana na wachafu na waliokonda mpaka inakatisha tamaa! Unajua pamoja na hali ngumu ya maisha, hakuna mtu anafurahia kuona/kukaa/kukutana/kuzungumza na mtu mchafu na aliyekondakonda mbavu nje (hiyo ni asili). Mtu hata kama ni muovu lakini akionekana nadhifu na ana siha njema uvutia kuongea naye na kujiona hadhi yako imepanda ukiwa karibu naye! Sijui uongozi wa manispaa ya Dodoma hukataza ambao hawajaoga na kuvaa vizuri na waliokondakonda kuonekana mjini hama vipi? Sikuwahi kwenda viunga vya ndani ndani ya Dodoma kuona hali ikoje!
 
Hiyo ni leo,
Enzi zetu Iringa road nilikua na mabro wawili wanatembeza mkono balaa.
Nikaunga bodi.
Ikawa akitandikwa mtu mzee napewa wasape nikimbie maskani.
Enzi za shilam disco,Nk hakukua na mambo mengi,stendi kule mchana tu.
Sokoni tulikuwemo.
Area c,d nyumbani huko.
Sasa dom mnaiongelea ya madent sa hii.
Tumshukuru mama kuupiga mwingi.
 
Mimi kuna kitu cha tofauti nilikiona Dodoma kuliko Dar! Ukienda maeneo mengi ya Dodoma mjini, watu wengi karibu 99% ni wasafi wamevalia nguo nadhifu zilizofuliwa na kuwakaa vizuri alafu wote wana afya njema. Ni nadra kuona "choka mbaya mbavu nje" ukiwa maeneo ya Dodoma mjini tofauti na Dar. Dar popote uendapo utakutana na wachafu na waliokonda mpaka inakatisha tamaa! Unajua pamoja na hali ngumu ya maisha, hakuna mtu anafurahia kuona/kukaa/kukutana/kuzungumza na mtu mchafu na aliyekondakonda mbavu nje (hiyo ni asili). Mtu hata kama ni muovu lakini akionekana nadhifu na ana siha njema uvutia kuongea naye na kujiona hadhi yako imepanda ukiwa karibu naye! Sijui uongozi wa manispaa ya Dodoma hukataza ambao hawajaoga na kuvaa vizuri na waliokondakonda kuonekana mjini hama vipi? Sikuwahi kwenda viunga vya ndani ndani ya Dodoma kuona hali ikoje!
Huku watu wako nadhifu sana pia utaperi hakuna kabisa yaani dodoma ni full raha
 
Wana dodoma, mnakila sbb ya kumshukuru JPM milele na milele. Na mseme ameni.
Bila yeye hakuna mwanaccm na taka taka zake ambaye angeweza kufufua huo mkoa.
Dodoma ya 2015 ni tafauti kabisa na 2024. Kuna foleni, kuna trafic lights, kuna hotel na lodge za maana, majengo makubwa yanainuka kila kukicha, miundombinu,ongezeko uwingi wa watu, nk nk. Kiasi sasa ni mji wa kibiashara

#Viva magufuli viva, mzalendo,shujaa, wa kweli
 
Wana dodoma, mnakila sbb ya kumshukuru JPM milele na milele. Na mseme ameni.
Bila yeye hakuna mwanaccm na taka taka zake ambaye angeweza kufufua huo mkoa.
Dodoma ya 2015 ni tafauti kabisa na 2024. Kuna foleni, kuna trafic lights, kuna hotel na lodge za maana, majengo makubwa yanainuka kila kukicha, miundombinu,ongezeko uwingi wa watu, nk nk. Kiasi sasa ni mji wa kibiashara

#Viva magufuli viva, mzalendo,shujaa, wa kweli
Kabisa mkuu yule pm ni mtu wa maono
 
Hiyo ni leo,
Enzi zetu Iringa road nilikua na mabro wawili wanatembeza mkono balaa.
Nikaunga bodi.
Ikawa akitandikwa mtu mzee napewa wasape nikimbie maskani.
Enzi za shilam disco,Nk hakukua na mambo mengi,stendi kule mchana tu.
Sokoni tulikuwemo.
Area c,d nyumbani huko.
Sasa dom mnaiongelea ya madent sa hii.
Tumshukuru mama kuupiga mwingi.
Ukija kwa Sasa unapotea mkuu
 
Back
Top Bottom