Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Nasema hivi, ukipanic lazima utaongea vitu vya ajabu, kwenye post yako umemtaja Marando, yeye ni nani ili nijue kama hujapanic? Isitoshe ulichoandika hakina mtiririko mzuri, na umechanganywa mambo mengi kwa pamoja, mpaka nimeshindwa kuelewa hoja yako ni nini hasa.
Nakuuliza swali moja na unijibu.

Ni nani unayemwona Mpizani halisi katika nchi hii.
Mpinzani Mzalendo anayefuata utawala wa Siasa za kidemokrasia.

Kati ya hao viongozi wa Upinzani
Nitajie mmoja tu tumchambue hapa
 
Nasema hivi, ukipanic lazima utaongea vitu vya ajabu, kwenye post yako umemtaja Marando, yeye ni nani ili nijue kama hujapanic? Isitoshe ulichoandika hakina mtiririko mzuri, na umechanganywa mambo mengi kwa pamoja, mpaka nimeshindwa kuelewa hoja yako ni nini hasa.
Hoja yangu ni kwamba Mpaka sasa Upinzani umefanikiwa katika kuwashibisha baadhi ya viongozi wa wake tu.
Na sio kuyafikia malengo ya upinzani ya

1.Kuwa na Wabunge wengi wa kuchaguliwa
2. Kuchukua Dola.

Hayo ndiyo malengo ya Upinzani.

Siasa za Upinzani za Tanzania zimejaa Ubabaishaji tu kwa viongozi wake kutaka kujilimbikizia mali na kung'ang'ania Madalaka.

Ndio maana Nchi jirani kama Kenya, Malawi, Zambia, Congo, nk Zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa ktk Siasa za Upinzani.

Upinzani wa Viongozi kama Mbowe Marando na Mrema, ni wa kutaka kuitwa Ikulu na Kunywa Chai tu.
Na kusubiri teuzi toka CCM

Kesho utasikia wamehamia CCM.

Ndio maana Watanzania wengi hawapigi kura za Uraisi.
Kwakuwa
Wameichoka CCM na pia
Hawamwoni Mpinzani wa kumkabidhi Hazina Yao.

Wanabaki kujiandikisha na kuchukua Vitambulisho tu vya kusajiria laini za Simu.
 
Nakuuliza swali moja na unijibu.

Ni nani unayemwona Mpizani halisi katika nchi hii.
Mpinzani Mzalendo anayefuata utawala wa Siasa za kidemokrasia.

Kati ya hao viongozi wa Upinzani
Nitajie mmoja tu tumchambue hapa

Huna uwezo wa kuchambua maana hata uandishi wako ni mbovu, we sema niweke jina la mpinzani tuanze kubishana na sio kuchambua, maana huna uwezo huo. Upinzani ni mwenendo sio mtu, sasa unataka nikutajie mtu uanze kuniambia huwa anavaa miwani na suti nyeusi, hivyo amehongwa na ccm.
 
Hoja yangu ni kwamba Mbaka sasa Upinzani umefanikiwa katika kuwashibisha baadhi ya viongozi wa wake tu.
Na sio kuyafikia malengo ya upinzani ya

1.Kuwa na Wabunge wengi wa kuchaguliwa
2. Kuchukua Dola.

Hayo ndiyo malengo ya Upinzani.

Siasa za Upinzani za Tanzania zimejaa Ubabaishaji tu kwa viongozi wake kutaka kujilimbikizia mali na kung'ang'ania Madalaka.

Ndio maana Nchi jirani kama Kenya, Malawi, Zambia, Congo, nk Zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa ktk Siasa za Upinzani.

Upinzani wa Viongozi kama Mbowe Marando na Mrema, ni wa kutaka kuitwa Ikulu na Kunywa Chai tu.

Kesho utasikia wamehamia CCM.

Ndio maana Watanzania wengi hawapigi kura za Uraisi.
Kwakuwa
Wameichoka CCM na pia
Hawamwoni Mpinzani wa kumkabidhi Hazina Yao.

Wanabaki kujiandikisha na kuchukua Vitambulisho tu vya kusajiria laini za Simu.

Anzisha chama cha upinzani mkuu uchukue nchi, maana hutaalikwa ikulu ili kwenda kunywa chai na juice.
 
Huna uwezo wa kuchambua maana hata uandishi wako ni mbovu, we sema niweke jina la mpinzani tuanze kubishana na sio kuchambua, maana huna uwezo huo. Upinzani ni mwenendo sio mtu, sasa unataka nikutajie mtu uanze kuniambia huwa anavaa miwani na suti nyeusi, hivyo amehongwa na ccm.
Kwa miaka yote ya Upinzani Tanzania
Nitajie mafanikio waliyofikia vyama vya upinzani ?
 
Mkuu hii inasikitisha mno. Nawashangaa watu wanaoona tatizo kubwa ni utaratibu uliotumiwa na Chadema kuwafukuza wakina Halima wakati mtu hata kuinsinuate kuwa institution kama Bunge ni corrupt ni jambo la hatari mno. Nilitegemea Bunge lipigane kufa na kupona kujisafisha kwenye hizi tuhuma.
Bunge limekubali kukaa kimya tuhuma nzito. NEC imekubali kukaa kimya tuhuma nzito kama hizi

Lakini forgery imeanza leo kwani? Si waliwahi kuandi kwa Boniface yule Meya. Pascal Mayalla hajui kwamba hilo limetokea.

Polisi wakipewa taarifa ya uhalifu wanaifanyia kazi. Pascal Mayalla anasema Chadema hawakuripoti. Hizi intelejensia za Polisi zinahusu wapinzani tu! Leo ukiona kuna watu wana njama za kulipua eneo fulani ukasema , Polisi hawatafanyia kazi eti hadi uende kutoa taarifa! Phwee!
Dokta amejiharibia kwenye hilo. Ndio ubaya wa kuchagua upande wakati mtu unapaswa kuwa neutral and beyond reproach. Namkumbuka Spika wa House of Commons John Bercow alivyokuwa ana hakikisha kuwa serikali haiburuzi upinzani ingawa mwenyewe alikuwa Conservative.

Amandla....
Dokta kavurunda kweli, yaani ni aibu sana. Eti Daktari Tulia kapewa barua na COVID19 kwamba wanaenda mahakamani! akakubali tuu bila kujiuliza chochote.

Taratibu ni kwamba Dk Tulia alitakiwa asubiri taarifa ya Mahakama, hakuna utetezi mwingine wa maana kwa watu wanaoelewa! shame on her kavurunda sana halafu ndiye mkuu wa mhimili unaotunga sheria za nchi! Tuna matatizo sana nchi hii

Spika wa House of common aliwakomalia conservative, halafu Metropolitan Police wakamwita PM na kumhoji. Huko kuna watu bwana! hapa kwetu Daktari Tulia anafanyia kazi majungu, shame on her ! anadhalilisha sana taaluma ya sheria anadhalilisha Bunge na nchi

Tulia ni aibu kwa Taifa!
 
Anzisha chama cha upinzani mkuu uchukue nchi, maana hutaalikwa ikulu ili kwenda kunywa chai na juice.
Bila kuwachukua akina Mdee
Wapinzani mlikuwa na Wabunge wa kuchaguliwa wasiozidi Watano Bungeni.

Miaka yote ya Siasa za Upinzani Tanzania.

Huoni kuwa hii ni fedheha kwa vyama vya upinzani na Upinzani Nchini Tanzania ?
 
Wapinzani inatakiwa watuombe radhi Watanzania.
Hakuna wanachokifanya zaidi ya kuimba Uluta Continua
 
Bila kuwachukua akina Mdee
Wapinzani mlikuwa na Wabunge wa kuchaguliwa wasiozidi Watano Bungeni.

Miaka yote ya Siasa za Upinzani Tanzania.

Huoni kuwa hii ni fedheha kwa vyama vya upinzani na Upinzani Nchini Tanzania ?

Huna ujualo, ni vyema ukatafute watoto wenzio mjadiliane. Vinginevyo anzisha chama uchukue nchi.
 
Mafanikio ni kwenda ikulu kunywa juice na chai kaka.
Sasa mbona ukiambiwa hivyo unakataa.
Una Wabunge wangapi wa kuchaguliwa na wananchi sasa hivi ?
Na upo zaidi ya miongo miwili katika mizani za Kisiasa.

Wananchi tutakuja kuwashtaki wapinzani kwa kutupotezea muda imani na malengo yetu kwenu.
 
Huna ujualo, ni vyema ukatafute watoto wenzio mjadiliane. Vinginevyo anzisha chama uchukue nchi.
Wewe kama mkubwa katika Siasa za upinzani umefanya nini cha maana hadi muda huu.
Mna Wabunge wangapi wa kuchaguliwa na wananchi ?
 
Upinzani wa nchi hii unatia fedheha sana ni kwamba tu wananchi wake ni watulivu.
Tuna moyo wa kupendana na amani

Leo unampigania kwa hali na mali mpinzani fulani hadi anafanikiwa lengo lake.
Tena kwa kutoka jasho na damu.
Ukiwa na lengo la kuupa nguvu upinzani kwa ujumla wake.

Kesho utamsikia kahamia CCM.
Na anatamba na kuwakejeri waliomsaidia.

Hivi mnatutia moyo au mnatuvunja moyo tunapo wasaidia ?
Kesho unakuja kunigongea nikupe mchango wangu wewe tena ?

Wacha mbakie na Wabunge wawili Bungeni mnastahili kabisa.
 
Kuna Meya Isaya Mwita ambae watu walighushi sahihi katika kitabu cha mahudhurio ili kukidhi matakwa ya quorum ili wamuondoe. Kuna wagombea wa vyama vya upinzani ambao walidai kuwa herufi iliongezwa kwenye fomu zao ili ionekane kuwa walikosea kujaza. Wakurugenzi walifunga ofisi ili wagombea washindwe kuwasilisha fomu zao katika wakati muafaka. Msimamizi wa uchaguzi aliwahi kuomba msamaha kwa kutangaza kuwa mgombea wa upinzani ameshinda uchaguzi. Tumeshuhudia mgombea wa uspika akimuhakikishia Mkuu wa Mhimili mwingine kuwa atawajibika kwake! Tumemshuhudia Spika akimrudisha Bungeni mbunge ambae aliishamwandikia barua ya kumfahamisha kuwa amejiuzuru kwenye chama chake na baadae kutangaza hadharani kujiunga na chama kingine ambacho kilimkabidhi kadi ya uanachama. Spika akamwambia rudi Bungeni kama muwakilishi wa chama ambacho aliishajiuzuru nacho. Yule mheshimiwa akamalizia term yake kama mbunge wa Chadema akiwa na kadi ya CCM mfukoni. Wakati yote haya yanafanyika gwiji wa sheria Paskali alikaa kimya.

Halafu leo Paskali ana audacity ya kusema wakina Halima hawakutendewa haki!
Hivi tuseme kuwa Mahakama ikibariki ubunge wao, watamuwakilisha nani wakiwa Bungeni? Wataweza kusimama na kuunga au kupinga hoja kwa niaba ya chama chao? Wameishakaa Bungeni kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa na hatukuwahi kuwasikia wakizungumzia suluba ambazo wanachama wenzao wanazipata.

Hii ilikuwa nafasi kwa chama tawala kuonyesha kuwa wataanza kuzingatia sheria na haki za vyama vyote vya siasa. Inasikitisha kuwa wamefeli kwenye hilo. Na watu ambao jamii iliwaamini kwa msimamo wao wamejionyesha kuwa wao ni wachumia tumbo kama wale wengine ambao walikuwa wanakataa hata kuwapa mikono.

Amandla...

Nguruvi3 JokaKuu
 
Kwani Zitto Kabwe alipofukuzwa akiwa Mbunge hakuendelea kuwemo bungeni wakati kesi yake ikiendelea kuunguruma? Mbona wazungumza juu ya wale wa CUF huku Zitto humzungumzii?Na hadi alimaliza kipindi cha miaka 5.
Ahsante,
Ndio double standards zenyewe hizo. Hata hivyo Zitto hakumaliza miaka mitano yote.
 
Kwani Zitto Kabwe alipofukuzwa akiwa Mbunge hakuendelea kuwemo bungeni wakati kesi yake ikiendelea kuunguruma? Mbona wazungumza juu ya wale wa CUF huku Zitto humzungumzii?Na hadi alimaliza kipindi cha miaka 5.
Ahsante,
Ndio double standards zenyewe hizo. Hata hivyo Zitto hakumaliza miaka mitano yote.
 
Back
Top Bottom