TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

Malecela family

IMG_9232.jpg
 
Wadau,
Nimekutana na caption huko insta ya Mange juu ya Dada yetu Dr.Mwele, hii habari si nzuri. Mwenye info zaidi tuletee.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa!
View attachment 2115127
Mwele Ntuli Malecela (alizaliwa tarehe 26 Machi 1963) alikuwa mkurugenzi wa taasisi ya tafiti za kiafya Tanzania (NIMRI).

Aliwania nafasi ya mgombea wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Kuanzia Aprili 2017 Mwele Malecela amekua akifanya kazi na Shirika la Afya Duniani (WHO) upande wa Afrika kama msimamizi wa maswala ya utawala, sera na ushauri wa kidiplomasia.



Lala salama mamiii

Upumzike kwa amani Dr Mwele, Tanzania tumepoteza

Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
 
Ndugu Wana jukwaa, kama ambavyo heading inavyosomeka kwamba kuna taarifa kwamba Dr. MWELE MALECELA amefariki jioni ya leo akiwa Uswisi alipokuwa anaishi na pia alipokuwa anatibiwa.

Marehemu Dr Mwele alikuwa ni Mkurugenzi wa Kituo Cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika ambacho kinatekeleza majukumu yake chini ya Shirika la Afya Duniani (WHO).

Pia Dr Mwele amewahi kuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa dawa Tanzania (NIMR) mpaka pale alipositishwa utumishi kwenye taasisi hiyo na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati John Pombe Magufuli kwa kile kilichosemekana kwamba alitoa taarifa kuwa Tanzania Kuna ugonjwa wa Zika kinyume na matakwa ya mwajiri wake.

Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu pema peponi, Amen.

IMG-20220210-WA0040.jpg


IMG-20220210-WA0039.jpg
 
View attachment 2115127
Mwele Ntuli Malecela (alizaliwa tarehe 26 Machi 1963) alikuwa mkurugenzi wa taasisi ya tafiti za kiafya Tanzania (NIMRI).

Aliwania nafasi ya mgombea wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Kuanzia Aprili 2017 Mwele Malecela amekua akifanya kazi na Shirika la Afya Duniani (WHO) upande wa Afrika kama msimamizi wa maswala ya utawala, sera na ushauri wa kidiplomasia.

Pia, soma:

1) Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

2) Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

3) Dr. Mwele Malecela aula WHO

4) Dr. Mwelecele (aka Mwele) Malecela pamoja na Dr. Kigwangala wamechukua fomu ya kugombea Urais wa JMT
Sad news,Pole nyingi kwa familia na Watanzania kwa ujumla, Mungu awe faraja katika nyakati hizi ngumu
 
View attachment 2115127
Mwele Ntuli Malecela (alizaliwa tarehe 26 Machi 1963) alikuwa mkurugenzi wa taasisi ya tafiti za kiafya Tanzania (NIMRI).

Aliwania nafasi ya mgombea wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Kuanzia Aprili 2017 Mwele Malecela amekua akifanya kazi na Shirika la Afya Duniani (WHO) upande wa Afrika kama msimamizi wa maswala ya utawala, sera na ushauri wa kidiplomasia.

Pia, soma:

1) Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

2) Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

3) Dr. Mwele Malecela aula WHO

4) Dr. Mwelecele (aka Mwele) Malecela pamoja na Dr. Kigwangala wamechukua fomu ya kugombea Urais wa JMT
Duh poleni sana familia ya Malecela.. Apumzike kwa Amani Dr. Mwele.
 
Back
Top Bottom