Diamond na Mafikizolo kuandika rekodi nyingine Afrika

GadoTz

JF-Expert Member
Nov 20, 2014
350
567
Collabo ya Diamond na Mafiizolo ambayo inatoka hivi aribuni mwezi huu inategemewa kumfikisha mbali zaidi Diamond.

13007251_263472587329866_8972150145464689161_n.jpg


Kwa mtazamo wangu hii video na wimbo kwa ujumla itaweka rekodi mpya ya views kwenye youtube na Tvs, rotation kwenye radio za afrika na shows kubwa zaidi kuendelea kumwandama Diamond. Kumbukeni wimbo wa make me sing aliofanya na AKA umeandika rekodi ya kutazamwa na watu wengi zaidi huko Afrika Kusini kwa muda mfupi tangia itoke ni rekodi ambayo haikuwai kutokea SA.

13043532_263472647329860_5006869278488691128_n.jpg


Big up kwa Dangote tunategemea makubwa zaidi kutoka kwako haswa tukiona jinsi Mafikizolo wanavyoipa uzito hii ngoma tofauti kabisa na kawaida yao. Endelea kututangazia BongoFleva.

13043278_263472603996531_9031741637690901866_n.jpg


12994345_263472597329865_6149245384682264724_n.jpg
 
Music unakuwa released 2 years after record!

Siko sure kama taste itabaki ile ile. Ngoja tusubiri.
 
From no where tu unaanza kujiweka juu ya mwenye Bongo fleva yake,mara oooh mi ndio KING,hatujakaa sawa unaanza kulalamika ooooh nafanyiwa figisu nisipate tuzo na nyimbo zangu hawazichezi,akili haijatulia ooooh makampuni yananifanyia figisu hayanipi ubalozi wa mihela ila wamenisusia nilinda tembo, we vipi kwani ......tatizo lako ulipotezwa na wale machungudoa ya Instagram sasa hivi yamekubwaga kama hayakujui.
 
Back
Top Bottom