Deforestation Report: Kama alichoandika Kafulila kwenye ukurasa wake wa X kina ukweli basi Watanzania lazima tujirudi kwa haraka

ISRAEL JR

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
1,487
687
IMG-20240510-WA0138.jpg

Katika Ukurasa wake wa tweeter Mhe David Kafulila ameandika haya:-
************************************
"Kwasasa Umuhimu wa kutumia nishati mbadala hauna mbadala,

Tanzania sasa ni miongoni mwa nchi 5 duniani kwa kasi ya ukataji miti.
Nchi zingine ni pamoja na Brazil, DRC, Indonesia na Angola.

Tunapoteza miti eneo la hekta 496,000 sawa na kilomita za mraba 4960.

Hii ni sawa na kupoteza eneo kubwa zaidi ya mara tatu ya Jiji la Dar es Salaam kila mwaka!"



**********************************
Kama kweli Tanzania kila mwaka inapoteza eneo la miti lenye Ukubwa mara tatu zaidi ya Dar es salaam kwa kukata miti hii ni ripoti ya kutisha sana,

Hili si jambo la CCM, ACT,CUF ,TLP Wala CHADEMA Kila mmoja lazima asimame kuzuia ukataji wa miti kiholela na ahamasishe utumiaji wa Nishati Mbadala na tupande miti ya kutosha sehemu tunazoishi na kufanya kazi.
 
View attachment 2987090
Katika Ukurasa wake wa tweeter Mhe David Kafulila ameandika haya:-
************************************
"Kwasasa Umuhimu wa kutumia nishati mbadala hauna mbadala,

Tanzania sasa ni miongoni mwa nchi 5 duniani kwa kasi ya ukataji miti.
Nchi zingine ni pamoja na Brazil, DRC, Indonesia na Angola.

Tunapoteza miti eneo la hekta 496,000 sawa na kilomita za mraba 4960.

Hii ni sawa na kupoteza eneo kubwa zaidi ya mara tatu ya Jiji la Dar es Salaam kila mwaka!"



**********************************
Kama kweli Tanzania kila mwaka inapoteza eneo la miti lenye Ukubwa mara tatu zaidi ya Dar es salaam kwa kukata miti hii ni ripoti ya kutisha sana,

Hili si jambo la CCM, ACT,CUF ,TLP Wala CHADEMA Kila mmoja lazima asimame kuzuia ukataji wa miti kiholela na ahamasishe utumiaji wa Nishati Mbadala na tupande miti ya kutosha sehemu tunazoishi na kufanya kazi.
Mbona ni kweli ,,ndo manaa unaona ardhi zinaanza kuporokoma sabab zimekoswa miti na mimie yalushikilia udongo usiporomoke.Matokeo yake mito na mabwawa yatajaa mchanga
 
Huo ndio ukweli na pamoja na nishati safi ya kupikia twende mbali zaidi na kampeni ya upandaji miti hii ihusishe jamii yote ya watanzania kila mmoja kwake kuwe na miti hata mitano na taasis za misitu kuanza upandaji wa miti kila wilaya ili kulinda mazingira na vizazi vijavyo, na hapo sheria zitungwe kali Kwa ataekutwa hajapanda mti Kwa mfano majumbani ipandwe miti ya matunda ya kisasa kama mastafeli, machungwa, maepo, na kadhalika, lakini pia tujitahidi sana taka ngumu zifanyiwe matumizi mengine, na kuhakikisha tunalinda vyanzo vya maji kuanzia mitoni hadi ziwani na baharini na kuondoa wote walio karibu na maeneo hayo bila sababu,
 
Huo ndio ukweli na pamoja na nishati safi ya kupikia twende mbali zaidi na kampeni ya upandaji miti hii ihusishe jamii yote ya watanzania kila mmoja kwake kuwe na miti hata mitano na taasis za misitu kuanza upandaji wa miti kila wilaya ili kulinda mazingira na vizazi vijavyo, na hapo sheria zitungwe kali Kwa ataekutwa hajapanda mti Kwa mfano majumbani ipandwe miti ya matunda ya kisasa kama mastafeli, machungwa, maepo, na kadhalika, lakini pia tujitahidi sana taka ngumu zifanyiwe matumizi mengine, na kuhakikisha tunalinda vyanzo vya maji kuanzia mitoni hadi ziwani na baharini na kuondoa wote walio karibu na maeneo hayo bila sababu,
Sahihi kabisa hii nchi ni yetu sote itikadi za vyama hapa hazina maana
 
Huo ndio ukweli na pamoja na nishati safi ya kupikia twende mbali zaidi na kampeni ya upandaji miti hii ihusishe jamii yote ya watanzania kila mmoja kwake kuwe na miti hata mitano na taasis za misitu kuanza upandaji wa miti kila wilaya ili kulinda mazingira na vizazi vijavyo, na hapo sheria zitungwe kali Kwa ataekutwa hajapanda mti Kwa mfano majumbani ipandwe miti ya matunda ya kisasa kama mastafeli, machungwa, maepo, na kadhalika, lakini pia tujitahidi sana taka ngumu zifanyiwe matumizi mengine, na kuhakikisha tunalinda vyanzo vya maji kuanzia mitoni hadi ziwani na baharini na kuondoa wote walio karibu na maeneo hayo bila sababu,
We jamaa wewe..
 
View attachment 2987090
Katika Ukurasa wake wa tweeter Mhe David Kafulila ameandika haya:-
************************************
"Kwasasa Umuhimu wa kutumia nishati mbadala hauna mbadala,

Tanzania sasa ni miongoni mwa nchi 5 duniani kwa kasi ya ukataji miti.
Nchi zingine ni pamoja na Brazil, DRC, Indonesia na Angola.

Tunapoteza miti eneo la hekta 496,000 sawa na kilomita za mraba 4960.

Hii ni sawa na kupoteza eneo kubwa zaidi ya mara tatu ya Jiji la Dar es Salaam kila mwaka!"



**********************************
Kama kweli Tanzania kila mwaka inapoteza eneo la miti lenye Ukubwa mara tatu zaidi ya Dar es salaam kwa kukata miti hii ni ripoti ya kutisha sana,

Hili si jambo la CCM, ACT,CUF ,TLP Wala CHADEMA Kila mmoja lazima asimame kuzuia ukataji wa miti kiholela na ahamasishe utumiaji wa Nishati Mbadala na tupande miti ya kutosha sehemu tunazoishi na kufanya kazi.
Na yale magogo makubwamakubwa ambayo huwa tunayaona yakisafirishwa nani anatoa kibali?
Maana yale sio magogo ya miti ya kupandwa.
 
View attachment 2987090
Katika Ukurasa wake wa tweeter Mhe David Kafulila ameandika haya:-
************************************
"Kwasasa Umuhimu wa kutumia nishati mbadala hauna mbadala,

Tanzania sasa ni miongoni mwa nchi 5 duniani kwa kasi ya ukataji miti.
Nchi zingine ni pamoja na Brazil, DRC, Indonesia na Angola.

Tunapoteza miti eneo la hekta 496,000 sawa na kilomita za mraba 4960.

Hii ni sawa na kupoteza eneo kubwa zaidi ya mara tatu ya Jiji la Dar es Salaam kila mwaka!"



**********************************
Kama kweli Tanzania kila mwaka inapoteza eneo la miti lenye Ukubwa mara tatu zaidi ya Dar es salaam kwa kukata miti hii ni ripoti ya kutisha sana,

Hili si jambo la CCM, ACT,CUF ,TLP Wala CHADEMA Kila mmoja lazima asimame kuzuia ukataji wa miti kiholela na ahamasishe utumiaji wa Nishati Mbadala na tupande miti ya kutosha sehemu tunazoishi na kufanya kazi.
Watanzania hawakatai kutumia nishati mbadara sema serikali ambayo akfulila anaifanyia kazi haiko serious. We shusha bei ya umeme, shusha bei ya gas uone kama kuna atayetaka kutumia kuni. Kuna mambo huhitaji kuwashikia watu fimbo. Unatumia akili kuwafanya watu wayafanye. Kama kutumia umeme au gas kutakuwa rahisi kuliko kuni na mkaa basi bila shaka kila mtu ataachana nazo. Lakini gas mtungi mdogo umepanda now kuujaza 25000 watanzania walio wengi ambao kodi ya meza mume anaaza 3000 daily hawawezi kuafford hiyo.
 
Kwa angle nyingine ugumu wa maisha na kukosekana kwa fursa na ajira inapelekea vijana kuona maliasili kama miti ndio kimbilio la kuwatoa katika hali ya umasikini hivyo wanakata mkaa kama hawana akili nzuri.

Pia ubadhirifu wa mali za umma ambao ripoti zinaonesha waziwazi unapelekea hasira kwa wananchi kuona kwamba kila mtu ale anapoweza, viongozi wanakula kodi zao na wao wanaona watumie mali walizolisishwa na mababu zao kama miti na wanyama pori

Nini kifanyike
1. Kuwe na uwazi kwenye matumizi ya mapato ya serikali
2. Wabadhirifu wote washughulikiwe bara-bara.
3. Kodi kwenye mitungi ya gas ipumguzwe mitungi midogo iwe kujaza ni 10,000
4. Elimu itolewe hasa vijijini
5 na mwisho kuwe na timu ya kuzuia ukataji miti hovyo kwenye kila kijiji/mtaa na wataokamatwa wakikiuka agizo wapewe adhabu kali ikiwemo kupanda miti 1000.

Ahsante
 
Back
Top Bottom