johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,753
- 143,206
Mnec Richard Kasesela Leo amefika KKKT Kimara na Kutubu huku akilia sana baada ya kumkuta Mtu aliyemfukuza Kazi Iringa Mjini akiwa ni Muhubiri anayetumainiwa hapa jijini DSM Mwinjilisti Mwaulesi
Kasesela anesema akiwa DC wa Iringa alimfukuza Kazi Afisa Tarafa Ndugu Mwaulesi kwa mashtaka ya Uwongo aliyoletewa ofisini kwamba Mwaulesi alikuwa Anahubiri Kwenye Mabasi na Kukusanya Sadaka ambazo haikujulikana anakozipeleka
Mnec Richard Kasesela amemuomba radhi Mwinjilisti Mwaulesi huku akilia na kusema kama asingemfukuza Kazi huenda Leo mh Mwaulesi angekuwa Mkuu wa mkoa
Source: KKKT Kimara tv
Dominica njema 😄😄
Kasesela anesema akiwa DC wa Iringa alimfukuza Kazi Afisa Tarafa Ndugu Mwaulesi kwa mashtaka ya Uwongo aliyoletewa ofisini kwamba Mwaulesi alikuwa Anahubiri Kwenye Mabasi na Kukusanya Sadaka ambazo haikujulikana anakozipeleka
Mnec Richard Kasesela amemuomba radhi Mwinjilisti Mwaulesi huku akilia na kusema kama asingemfukuza Kazi huenda Leo mh Mwaulesi angekuwa Mkuu wa mkoa
Source: KKKT Kimara tv
Dominica njema 😄😄