Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,844
- 15,364
Tumedanganywa sana, tumebagazwa sana, tumelaliwa sana ,tumechezewa sana kwenye hili swala la corona
Nchi ambazo wamechanjwa wengi ndiyo wanaambukizwa Omicron kwa kasi. Utafiti haufanyiki tunachoambiwa ni kuchanja tu.
Corona ina miaka 2 sasa hapa duniani lakini Doctors wameshindwa kuja na majibu ,labda tuwaongezee miaka 5 mbele.
Kwa sasa baki njia kuu malimao na ndimu zinatosha
Nchi ambazo wamechanjwa wengi ndiyo wanaambukizwa Omicron kwa kasi. Utafiti haufanyiki tunachoambiwa ni kuchanja tu.
Corona ina miaka 2 sasa hapa duniani lakini Doctors wameshindwa kuja na majibu ,labda tuwaongezee miaka 5 mbele.
Kwa sasa baki njia kuu malimao na ndimu zinatosha