Dangote afungua kiwanda kikubwa Afrika cha kusafisha mafuta

HIMARS

JF-Expert Member
Jan 23, 2012
69,530
94,996
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Tzs 50 Trilioni
 
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Trilioni 50
Gharama zilizotumika ni Trilioni 50
 
Nilisomaa ili andiko sehemu il kinachonichanganyaa ni kwamba kitakuwaa pia kinazaalisha mboleaa n plastik kivip? japo mwaka jana alifunguaa kkiwandaa kikubwa cha mbolea je ni iki iki au malighafi zitakazo baki kwenye usafishaji wa mafuta zitatumika kutengeneza mbolea?
 
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Trilioni 50
Kiwanda kiko nchi gani?
 
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Trilioni 50
sifa zote hizi nilidhani kiko tz.....kuna watu mnajua uchawa
 
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Trilioni 50
Kwenye Bei hapa umetupiga. Utajiri wa dangote ni USA Dolla 15 bil na hicho kiwanda tu kimezid utajiri wake wote. Ebu fafanua hapo

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Sasa bepari kama huyu si anaweza kuweka serikali yote mikononi mwake? Tena ana uwezo wa kuweka mgombea wake wa kuja kulinda maslahi yake
Adhibitiwe na Jeshi iwapo akisumbua chap tu usalama unadeal naye.

Nchi inatakiwa iruhusu watu kama hawa na iwalinde. Hapa TZ tungekuwa naye akatujengea mitambo ya madini na gesi humu ndani maana serikali biashara haiwezi.
 
Kwenye Bei hapa umetupiga. Utajiri wa dangote ni USA Dolla 15 bil na hicho kiwanda tu kimezid utajiri wake wote. Ebu fafanua hapo

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Sasa nimekupigaje, wakati mitandao ipo nenda google kasome utaelewa.
Kilitakiwa kutumia dollar bilioni 12-14 ila sababu ua ucheweleshaji kimetumia dollar bilioni 19
Na zote kakopa
 
Back
Top Bottom