CV ya Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Prof. Godius Kahyarara inatisha

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
C1.png
c2.png
c3.png
c4.png
c5.png

Wadau, amani iwe kwenu. Kama kuna jambo zuri ambalo Rais Magufuli analifanya basi ni kuheshimu taaluma katika kila eneo. Sehemu ambazo zinahitaji wasomi wa taaluma fulani anamuweka mtu sahihi kutokana na sifa na uzoefu alionao mtu huyo.

Miongoni mwa watu ambao kwa hakika Rais Magufuli amewaweka katika mahala pake ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Prof Godius Kahyarara. Naamini kuwa Rais amejifunza kutoka kwa Prof Muhongo na hivyo kuwaona wasomi wabobezi ni wa msaada mkubwa sana kwake na kwa maendeleo ya nchi

Hongera sana Rais Magufuli. Najua watu watakuchukia sana ila usikate tamaa. Nchi itasonga mbele kama hutasikia sauti za wapiga zumari.
 

Attachments

  • CV YA BOSI MPYA WA NSSF PROF GODIUS KAHYARARA.pdf
    136.5 KB · Views: 681
Hao ndiyo watu tunaotaka kuongoza Taasisi zetu, msimu wa vilaza umekwisha, watu wa critical thinking na siyo watu wa kukariri vifungu vya sheria (Respect kwa wabobezi wa Sheria!) na vishahada vya kuunga unga akina Lisu, Zito &Co. hata walisomea wapi hakuna anayefahamu!
 
Another academician! madigree hayasaidii sna kwenye real life...angeendelea kufanya ma research yake tu huko...hana uzoefu wowote kwenye business.

Hata hivyo nasikia ni binamu wa baba Jesca, so inaweza ikawa ndio qualification yenyewe.
 
Hatumie weredi wake vizuri.. Tupate mafanikio katika ilo shirika kutokana na hiyo CV yake.. Kipindi cha huu mkataba wake hapo
 
View attachment 354024 View attachment 354025 View attachment 354026 View attachment 354027 View attachment 354028 Wadau, amani iwe kwenu. Kama kuna jambo zuri ambalo Rais Magufuli analifanya basi ni kuheshimu taaluma katika kila eneo. Sehemu ambazo zinahitaji wasomi wa taaluma fulani anamuweka mtu sahihi kutokana na sifa na uzoefu alionao mtu huyo.

Miongoni mwa watu ambao kwa hakika Rais Magufuli amewaweka katika mahala pake ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Prof Godius Kahyarara. Naamini kuwa Rais amejifunza kutoka kwa Prof Muhongo na hivyo kuwaona wasomi wabobezi ni wa msaada mkubwa sana kwake na kwa maendeleo ya nchi

Hongera sana Rais Magufuli. Najua VILAZA watakuchukia sana ila usikate tamaa. Nchi itasonga mbele kama hutasikia sauti za wapiga zumari
mzee yupo safi mno safi kupita kiasi
 
Hao ndiyo watu tunaotaka kuongoza Taasisi zetu, msimu wa vilaza umekwisha, watu wa critical thinking na siyo watu wa kukariri vifungu vya sheria (Respect kwa wabobezi wa Sheria!) na vishahada vya kuunga unga akina Lisu, Zito &Co. hata walisomea wapi hakuna anayefahamu!
huyo nani kakuambia kasoma kweli? Wangapi wasomi CCM na ndiyo Mafisadi? Akina Chenge, Mwakyembe na mabehewa, Tibaijuka akina werema na wenzao wana cv lakini ni wezi, Huyo anaweza akawa kasoma kijanja janja ile style ya kuiba mitihani na kununua majawabu na kukariri kisha wanajifunza Kingereza kwa bidii ili kuficha udhaifu wao.
 
huyo nani kakuambia kasoma kweli? Wangapi wasomi ccm na ndiyo Mafisadi? Akina Chenge, Mwakyembe na mabehewa, Tibaijuka akina werema na wenzao wana cv lakini ni wezi, Huyo anaweza akawa kasoma kijanja janja ile style ya kuiba mitihani na kununua majawabu na kukariri kisha wanajifunza Kingereza kwa bidii ili kuficha udhaifu wao.


Aaa wapi! CV kama hiyo angekwama tu mahali, embu irudie tena kuiangalia mwanzo mwisho!
 
Lizaboni
Hapa tunajadili CV ya mrithi wa Boss wako Dau, Lowasa ana degree na Mbowe ni form six kama Kinana lakini ana maarifa kuliko wanaojiita wasomi huko CCM, JK anajiita Msomi alibeba majina Mfukoni akaenda Dodoma akitaka Membe awe Rais lakini wajumbe ambao hawakutaka ufalume wakamkomesha wakamteua baba Jesca lakini nae kaanza undugu na urafiki kama JK, CCM wapo Wasomi akina Prof Kapuya na Mbilinyi walifanya nini cha kujivunia?
 
Hii tabia ya kusifia CV huwa anayo Le Mutuz kwa sababu huwa ana vyeti feki aliviiba huko Marekani akadhani CV bongo huwa inasaidia sana lakini kabakia na CV zake na sasa kageuka kuwa mpambe wa Devis Mosha baada Wazee wa CCM kumwona mzigo.
 
Miongoni mwa mambo yaliyoturudisha nyuma kama taifa ni UONGOZI WA KISIASA katika maeneo yauohitaji TAALUMA.

katika mpango huo wameshiba sana kwakuwa waliokuwa viongozi wao walijuwa hawana upana wa kuhoji mambo mengi kwa ukosefu wa Taaluma za masuala husika.
 
Back
Top Bottom