Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Hapo penye maandishi mekundu japo sijui ni majimbo gani ila hao ndio watakuwa baraza lake la Mawaziri ,nje na Mbowe ambaye atakuwa PM. Pro.Kitilla Mkumbo jana kwenye kipindi cha Siasa za Siasa EATV alisema Chadema LAZIMA watafyta kwa Lowasa na atakuja na utaratibu wake kama uleule ndani ya CCM.
Mkuu Kitila amesahau kuwa katiba and inawaruhusu wabunge wamu impeach Rais endapo akichemka/vunja katiba. Lkn hiyo sio issue sasa hivi. Issues in kupiga kura za NDIO kwa wingi kwa Rais,wabunge na madiwani wote wa UKAWA nchi nzima.