CRDB, ATM ya Ihumwa, Magorofa Mapya haina fedha

Ed Kawiche

JF-Expert Member
May 28, 2020
2,632
4,748
CRDB BANK mnalala sana!

Wananchi tunaoishi Ihumwa na Mtumba huku Dodoma tunasota kwa kukosa fedha kwenye ATM yenu hapa Ihumwa Magorofa Mapya.

Changamkeni, hamchoki kulalamikiwa?
 
Back
Top Bottom