babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,267
- 16,260
Nimeishia kutoa macho tu, zinateketezwaje?
Imekuwa sio kazi ya Polisi tena kuteketeza ila kampuni binafsi?
Hata ulinzi hakuna pale.
Hamna namna ingine ya kuteketeza wanapeleka kule kule tena buchani mbuzi afie hapo.