Na miaka yote show zimepigwa hapo kama kawaMaandalizi yote yale....mpaka jana walikua wanajiandaa... hii serikali ina maana hawakuona kama pale pana makazi ya watu mpaka bado siku moja ndiyo wanawapokonya kibali?
Wasifanye tena waache tu
Na miaka yote show zimepigwa hapo kama kawaMaandalizi yote yale....mpaka jana walikua wanajiandaa... hii serikali ina maana hawakuona kama pale pana makazi ya watu mpaka bado siku moja ndiyo wanawapokonya kibali?
Wasifanye tena waache tu
Nafikiri CMG wamefanya uamuzi mgumu lakini ni sahihi kabisa kusitisha kilele cha tigo fiesta kuliko kile ambacho kimeonekana kama ni altenative ya kuhamishia Tanganyika peakers (kawe) wakati walikuwa washafanya maandalizi pale leaders club..
Waswahil wanasema ni bora kuwa maskini jeuri kuliko kuwa tajiri mtumwa.. Wangeenda Tanganyika peakers watawala wangefanikiwa kupata wanachokitaka kuwafanya wawe watumwa wao.
Kwann wao waruhusiwe kutumia Leaders huku wengine wakizuiwa?Walichofanyiwa Clouds ni unyama! Serikali ilitoa kibali iweje wawakataze mwishoni mwa maandalizi huku watu wakiwa wameshaingia gharama kibao? Uwe unawapenda/huwapendi Clouds hili tukio ni la ajabu mno! Nani atawalipa gharama zao? This is not fair!!
Kwani huko hakuna makazi ya binadamu??Mwaka Jana manispaa walisitisha kutoa vibali watu kupiga mziki pale ila jamaa wa clouds walipewa . Hata mwaka huu nyama choma festivals wamenyimwa, efm, etc sasa unadhani ni sawa kuacha waendelee, mbona maeneo yapo mengi e.g Tanganyika pck, mwembeyanga, uhuru stadium etc
Choko yule Nay the true Boyaa!Clouds waswahili vs mond mswahili wa mbagala
Nadhan mswahili zaid mond kashinda clouds wanalakujifunza
Namuonea huruma ney wa mitego Jana karopoooka Leo kiko wapi
Naunga mkono hoja yako Mkuu ili tukio ni la kikatili sana. Wametumia gharama kubwa kuandaa... Bado muda waliotumia kwenye matangazo.. Watu wachache.wasiojua uchungu wa kupata hasara kwenye Biashara ndiyo watashabikia.Walichofanyiwa Clouds ni unyama! Serikali ilitoa kibali iweje wawakataze mwishoni mwa maandalizi huku watu wakiwa wameshaingia gharama kibao? Uwe unawapenda/huwapendi Clouds hili tukio ni la ajabu mno! Nani atawalipa gharama zao? This is not fair!!
Naunga mkono hoja, Kabisa waende huko Mwembe Yanga au Tanganyika PackersWaende tanganyika Packers au mwembe yanga hamna jinsi
Ova
Huenda yule mwamba amekata moto, dah God forbid!Mawingu sasa hvi wanapiga nyimbo tu mwanzo mwisho tangu asubui, hawatangazi chochote lzma kutakuwa na jambo sio bure.
Hii inawezekana maana ile mispika ya MID kama 600 hivi!walipewa kibali jana wakati wa sound check inasemekana kuna wagonjwa 2 walizimia sababu ya kelele,hospitali wakapeleka malalamiko kwa mkurugenzi jioni kibali kikafutwa,
Usipoelewa na hapa rudi shule
Hayaa huyo diamond naee mbona kawaacha wenginee wengi tuu...??? Kina young d...country boy... Au sio wasaniii??? Hakuna tamasha unaweza Ita wasanii wotee hata siku mojaa...Wenye Hits na wenye upepo kipindi hicho ndo watakula Shavuu bhasiii... Unamuita mtu ili mradi msanii unadhani nani atakuja kwenye show???? Kila mtu anajali maslahi bhana... Hakuna mtu yupo tayari kupata hasaraa... Hilo tamasha la diamond pale hata wasingechukua wasanii wengine toka nje ya WCB bado tamasha laoo Lingefunikaa mbaya sababu Mboso...raymond..Diamond...harmonize..lavalava wotee Wana upepoo mkubwa tuu so kumuita mtu kama chin beez just kunogesha zaidi na kupeana ajira lakini wao Wenyews walitoshaaaa...! Kama unadhani ni rahisi anzisha tamasha lako uitee wasanii wote uoene kama hujala hasaraa...
Miniko na Jmondy geti la ubaazi wa pili So mmiliki ni JmondNimeshakuona una ubishi wa facebook, niko nangwanda sijaona mtwara get la upande wa barabara kuu kuna pub inaitwa shooters niko hapa na huyo bwana wa clouds
Nime tune in hapa mawingu FM naona naskia nyimbo zinatiririka tu na matangazo ila siwaskii wazee wa Jahazi Ephraim na mwenzie Gadner leo! Nahisi kuna kitu sio kawaidaKwa boss wao ruge inawezekana kadedi
Who freaking cares?mkuu hapo nadhani ni kwamba manispaa imewachinjia baharini. maana kibali walipewa mapema tu..manispaa ikiwa inajua kabisa uhalisia wa lile eneo. Halafu kinakuja kufutwa dakika ya mwisho.. its really unfair
Tangu lini jahazi likawa jumamosiNime tune in hapa mawingu FM naona naskia nyimbo zinatiririka tu na matangazo ila siwaskii wazee wa Jahazi Ephraim na mwenzie Gadner leo! Nahisi kuna kitu sio kawaida
Anyone who has a modicum of empathy should care. You may hate clouds fm and be happy that this is happening to them..but think for a moment of the hundreds of Tanzanians along the value chain who stood to gain an income from this event...perhaps invested in preparations and are now suffering losses just because of one persons unwise decision?Who freaking cares?
mkuu achana naye huyo. Inaelekea clouds fm hata haifahamu..anashabikia tuTangu lini jahazi likawa jumamosi
Miniko na Jmondy geti la ubaazi wa pili So mmiliki ni Jmond
Una hoja zaidi ya personal attack na blabla tu.ndio maana nimekwambia una ubishi wa face book