Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,451
- 16,340
Kama mnavyojua team ya taifa ya soccer upande wa wanawake ilifuzu kushiriki kombe la dunia linaloendelea sasa huko India ila star wa team Clara Luvanga haonekani. Sasa habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba Clara ameitwa na FIFA South Africa kwa ajili ya vipimo vya hormone na umri.
Huyu Clara amekuwa akichezea team ya Yanga Princess ya under 17. Sasa inasemekana wakati Tz inatafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia tulicheza na Cameroon, Huyu Clara aliwafunga wa Cameroon magoli matatu na alikuwa na spidi za ajabu yani mbio zisizoelezeka mpaka kuwashtua wa Cameroon ambao walianza kulalamika kuwa Clara ni mwanaume na afanyiwe uchunguzi, wa Cameroon nasikia walitaka mpaka kuingia chumbani cha Clara ili wamvue nguo kwa jinsi alivyowaadhibu kwenye mechi. Baadae wa Cameroon wakapeleka malalamiko FIFA.
Baada ya TZ kufuzu tu kuingia kombe la dunia TFF wakamuondoa Clara kambini maana walijua kabisa kesi inakuja, Na hata baada ya kumuondoa ila bado FIFA iliwaambia TFF wampeleke Clara South Africa kwa vipimo vya hormones.
Inasemekana kwamba Clara yuko South Africa hadi sasa huku vipimo vya hormones vikiendelea na so far wanadai amekutwa na hormones nyingi za kiume hivyo anaweza asiruhusiwe kucheza soccer la kike tena.
TFF ilibidi watoe tamko la Clara alipo na kile kinachoendelea sio kukaa kimya tu. Na inasemekana TFF walikuwa wanajua toka mwanzo Clara ni mtu wa dizaini gani ila walitaka tu wafuzu kuingia kombe la dunia then ndo wamuweke pembeni.
Huyu Clara amekuwa akichezea team ya Yanga Princess ya under 17. Sasa inasemekana wakati Tz inatafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia tulicheza na Cameroon, Huyu Clara aliwafunga wa Cameroon magoli matatu na alikuwa na spidi za ajabu yani mbio zisizoelezeka mpaka kuwashtua wa Cameroon ambao walianza kulalamika kuwa Clara ni mwanaume na afanyiwe uchunguzi, wa Cameroon nasikia walitaka mpaka kuingia chumbani cha Clara ili wamvue nguo kwa jinsi alivyowaadhibu kwenye mechi. Baadae wa Cameroon wakapeleka malalamiko FIFA.
Baada ya TZ kufuzu tu kuingia kombe la dunia TFF wakamuondoa Clara kambini maana walijua kabisa kesi inakuja, Na hata baada ya kumuondoa ila bado FIFA iliwaambia TFF wampeleke Clara South Africa kwa vipimo vya hormones.
Inasemekana kwamba Clara yuko South Africa hadi sasa huku vipimo vya hormones vikiendelea na so far wanadai amekutwa na hormones nyingi za kiume hivyo anaweza asiruhusiwe kucheza soccer la kike tena.
TFF ilibidi watoe tamko la Clara alipo na kile kinachoendelea sio kukaa kimya tu. Na inasemekana TFF walikuwa wanajua toka mwanzo Clara ni mtu wa dizaini gani ila walitaka tu wafuzu kuingia kombe la dunia then ndo wamuweke pembeni.