Christina Shusho, colabo na Diamond hapo umeliwa!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,906
13,211


Kimapenzi, kwa mwanamke kuwa karibu na Diamod Platinumz, hapo huyo mwanamke atayeyuka kama siagi ikikatwa na kisu cha moto!

Kwa wanaomfahamu Diamond, hajawahi kumuacha mwanamke salama. Christina Shusho hatakuwa wa kwanza kuingia mtego huo. Kila la heri mwimbaji wa nyimbo za Injili, ambaye sasa ana assingment
 
Shusho anasemajee Kwan yy
Screenshot_20240429_164838.jpg
 
Let her do whatever she feels coz she's the only one justifies her destination life in this planet journey.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom