NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,053
- 4,064
Tofautisheni AM(ante meridian) na PM (post meridian).Huu ni mstari wa Greenwich meridian.Huu mstari umepita wingereza mji wa Greenwich ukakatiza Ghana.Longtude yake ni degree 0kwa nn saba isomwe 1???
7.00am maana yake masaa saba yamepita baada siku kuanza hiyo ni asubuhi.Ikifika mchana saa saba inakuwa 1.00pm yaani lisaa limoja limepita baada ya PM.Usiku saa moja inaandikwa 7.00pm yaani masaa saba yamepita baada ya PM
Kumbuka AM inaanzia saa sita usiku hadi saa sita mchana.
Infact wazungu wako more scientific wakizingatia mzunguko wa dunia.