Nimekaa natafakari kwa nini baadhi ya watu wanajiita chawa. Leo nimepata jibu kuwa ni WANYONYAJI.
Ningeomba serikali ipige marufuku watu kujiita chawa.
Kwa wale tunaounga mkono uongozi wa rais Samia basi tuitwe tu WAPAMBE coz tupo naye bega kwa bega.
Mimi ni mpambe pia.
Ningeomba serikali ipige marufuku watu kujiita chawa.
Kwa wale tunaounga mkono uongozi wa rais Samia basi tuitwe tu WAPAMBE coz tupo naye bega kwa bega.
Mimi ni mpambe pia.