Kamwe hawatapata kura yoyote zanzibar na wanajua ili uwe rais lazima upata theruthi ya kura kitoka zanzibar
Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.
Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.
Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani
Tanzania bara huku wameamua kunigawa wao wenyewe mana tayari wanaonekana no wadini na wabaguzi.
Tayari samia atapata kura nyingii za huruma kwaba anashambuliwa kwa uzanzibari wake.
Kwli shuld inatakiwa. Inaonekana lisu yuko empty kichwani